Sasa ndo umwambie biasha kama ipiii sasa hapo ndo umeshauri kwaniiAchana na forex na betting, dont say you havent been warned ..Mungu amekuhurumia umepata hio milion9, kwa maisha haya ni nyingi, kaa tulia , tafuta biashara ndogo ya kufanya ya walau kupata elfu 50 kwa siku, kuna thread humu inazungumzia biashara ndogondogo mbalimbali itafute itakusaidia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa anatoa vitabu kwenye channel yake. Na ukimuuliza anakuelekeza fresh kama una shida. Nenda telegram katafute brightforextanzaniainstitute kisha jion group omba vitabuu.
Kama wakinanani hao bossSijaona sehemu ambapo FX imekufulisi .
Nilichoona kuwa imekupa starting point ya kuishi
Wewe NI mzee wa kujilipua au gambler
Badili heading unakosea Taaluma za watu heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya broker ni dola moja ($1=Tshs,2300)Forex kima cha chini cha kuanzia ni Tsh ngapi?
LOL forex hatuchezi... unatukosea heshima aiseee.duh.!
kibiriti kimelowana hadi msokot na Jua haliwaki...halafu niko ugenin,nitaikaushaje!
ngoja nijaribu kutafuna
siyo mbayaa..starter kwa mbalii
Je? naweza kucheza forex bila kuweka hela...yaani kama nikishinda ndio niwalipe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wana cheza na auto channel na stochastic ya 5,3,3 pamoja na MACD na wana fanya vizuriii ni ku master tu. KweliiBinafsi imenichukua miaka miwili hadi kuanza kuona consistency kwenye game, lakini kabla ya hapa nimechoma sana akaunti zisizo na idadi lakini nilijipromise kuto kukata tamaa na sasa namshukuru Mungu naona matunda ya forex.
Nimedevelope methodology au strategy yangu na nimeipa jina LA MONEY COMETH CODE(MCC) kwakweli naona fedha zikija kupitia hii strategy siyo kwangu tu Bali na kwa wanafunzi wangu wachache waliochagua kuiamini!!!
Unaweza ukacheki uchambuzi wangu wa soko kabla na baada kupitia page yangu ya Instagram yenye la, (sullam_Fx).
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo fx unaweza jiwekea kanunu lakin ukishaanza kutrade unajikuta umeshachapa 0.5 kwenye mtaji wa 100. Ila ushauri wako nitaufanyia kazi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli ulikuwa na njaaHii comment imenikumbusha mbali sana.
Nilishawah kutrade kwa lot size ya 1.0 kwenye mtaji wa dollar 98.
Kwa mara yakwanza na yamwisho nikaunguza account.
Ile siku nadhani utumbo uliingia kwenye kibofu maana nilivyojisikia haielezeki.
Wakati huo nimepigika vibayaa..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Deal lenyewe lisijekua ni kusimamia kilinge chako mkuu. Kidding!😀😀😀Aje Pwani nimpe dili
Jr[emoji769]
Kwa $ 1600 mbona unatrade tu vizuri lot ya 1.0 cha msingi tu ni ufungue only one position kwa wakati moja na pia kwenye lower time frame kama 15min, 30min au 1hr na SL isiwe kubwa sana pia usitarget pips nyingi sana..Account ya $1600 unaweka lot size ya 1 af unaonekana unatrade bila SL ulitegemea nini kikupate?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kawaida mkuu huwezi kushinda kila siku.Ndio mkuu betting inalipa tena sana
Ila sometimes inaenda na upepo kunakipindi kinafika kila unapogusa nikipigo hata timu yenye odd 1.04 inakuchoma
Jmosi nilikuwa sijafuma mkeka niko getto naangalia gemu ya Barcelona na real sociedad sijakaa sawa barcelona kapigwa goli
Nikaingia betpower nikaona Barcelona amepewa odd 3.2 nikasema liwalo na liwe nikadeposite laki 4 nikampa barca ashinde maana nilijua king messi yuko ndani.
Nimemaliza kubet tu griezmann kafunga goli la kusawazisha nikasema kipindi cha pili tunakuja kuwamalizia kweli ilipofika wakapata goli lingine nikasema nimepata faida ya laki 8 fasta fasta
Kocha wa real sociedad akafanya sub kakaingia kale ka januzaj kanapiga mpira mwingi hadi wakasawazisha gemu ikaisha 2-2 pesa ikawa imeenda hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usitishike na huo mkasa huwezi jua kweli ni forex au kuna mambo mengine nyuma ya pazia. Kama ni kufa mbona watu wanajiua kwa ajili ya mapenzi lakini bado mapenzi yanarun dunia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu kuna jamaa hapo juu katoa ushuhuda kuna jamaa amejinyonga makete kisa forex. Amenitisha aisee mukari umepoa. Napokea ushauri wenu niisome kwanza nielewe vizuri. Nashukuru kwa tips za vitabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una Storystory tamu mzee kama zimetungwa zinatia desire ya ajabu mpaka najiona mjinga kuiweka chonjo FX pembeni mpaka leo yaani nimeijua FX then naishi maisha kama sijawai tumia JF.Huwezi amini graduation niliokuwa nasema nitapaki mkoko mlimani city ,tarehe 20 November nilikuwa sinakitu kwenye mpesa nilikuwa na 270000 .nikajiuliza nikitoa hii pesa sijui nikachuke joh na makorokocho mengine gradu ikiisha nitafanyaje??
Ikabidi nikaushe tu masela zangu kutoka Mikoani kwangu ndio wakafikia nikawakaribisha wanatest suti, joh, kofia wanapiga picha mimi tu naumia kimoyo moyo.
Siku ya graduation before hawaja ondoka mvua ikapiga wakashindwa kutoka ikabid nikimbie na mvua nikawaletee bajaji.
Lakin hiyo pesa niliyohifadh ikaja kunipatia hizo faida hata wiki haikupita
Sent using Jamii Forums mobile app
Fx easy sana boss tuliza tu munkali inaeleweka kinoma.Yesu Yesu Yesu. Mkuu usinifanye nisome vitabu vyote vya forex duniani niifahamu hii kitu. Nilivyokuwa naisikia sikia forex nikajua ni vitu vya ovyo vya kupotezeana muda, mambo ya ujanja ujanja.
Mimi na uchaga wangu nikiunguza dola 10,000 si nitajinyonga wallah. Kwanza nikiifahamu hiyo forex faida ya dola 25 kwa siku inatosha, huko 10,000 kote natafuta nini.
Wacha niisome mpaka niifahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Information unazipata wapi.Mkuu lugha inayotumika hapo sio shida saana kikubwa uwe na mtu karibu kukuelekeza mdogo mdogo ndani ya mwaka utakuwa umepata mwanga.
Kikubwa nikujua namna ya kusoma news mbali mbali nakujua namna ya kuzifafanua mfano GDP, employment rate, inflation rate ni vitu vidogo ambavyo unaitaji mtu wakukufundisha
Sidhan kama lugha nikikwazo kwenye hii biashara
Sent using Jamii Forums mobile app