Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaa [emoji23][emoji23] nataka nimpe strategy safiii. Ya eurusd 98%wewe wa nini demu wangu kisa tu umesikia anarun dola 5000 wakti wewe ukiingia sokoni unarisk dola 4000 kwa wakati mmoja au unataka papuchi yake
ndo maana nikasema vitu vingine wameweka for funny huwezi kuvikuta sokoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee uko mbali mkuu. Wewe unatakiwa ufanye argument na wakina forex broker killer, bongo wanapiga huo mpunga ni wachache sana.Siwezi weka balance yangu ila profit yangu ya day ni akaunti ya mentor, lots yoyote stop loss ni lazima kuna risk reward ratio kuna trading plan,
Execution hivi vinadetermine ufanyajeView attachment 1296032
Sent using Jamii Forums mobile app
Entry yako but we base katk probability kiwango chako ch Sl kwamba ikienda against basi ikifika makadrio yako istop hapo si lazima itii makadirio yako ila kujua mwenendo na entry nzuri ndo jambo zuri Sl yako inakua safe,Naomba kuuliza swali kama biashara ya forex ni msingi wa mabadiliko ya pips. Ina maana hakuna kiwango cha chini kabisa cha loss kwamba hata pips zishuke namna gani sokoni haziwezi kushuka zaidi ya hapa unaset hiyo SL? Ili watu wasichome account zao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Namimi bora nianze tu ila hii kitu nilijitahidi kuelewa ikawa kama physics kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado uwelewa wako mdogo ushaurii keep readingMimi ni beginners nimeanza jana kuisoma na kuifahamu forex so far nimerealize kuwa maskini forex ni asilimia kubwa kuliko kutajirika. Mfano unaorder hela kubwa sana kupata faida ndogo.
Mtaji mkubwa = faida ndogo
Kwenye process ya Kutafuta faida ndogo = unaunguza mtaji mkubwa.
Dah mawazo yangu nilidhani ukiweka Eur/usd 100 unavuna 10 kumbe ni 1,000 unavuna cent.
Wazee wa forex mna roho ngumu. Salute guys
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni beginners nimeanza jana kuisoma na kuifahamu forex so far nimerealize kuwa maskini forex ni asilimia kubwa kuliko kutajirika. Mfano unaorder hela kubwa sana kupata faida ndogo.
Mtaji mkubwa = faida ndogo
Kwenye process ya Kutafuta faida ndogo = unaunguza mtaji mkubwa.
Dah mawazo yangu nilidhani ukiweka Eur/usd 100 unavuna 10 kumbe ni 1,000 unavuna cent.
Wazee wa forex mna roho ngumu. Salute guys
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa haya maneno uliyoandika hapa inaonekana hujaelewa bado hata introduction to forex.Mimi ni beginners nimeanza jana kuisoma na kuifahamu forex so far nimerealize kuwa maskini forex ni asilimia kubwa kuliko kutajirika. Mfano unaorder hela kubwa sana kupata faida ndogo.
Mtaji mkubwa = faida ndogo
Kwenye process ya Kutafuta faida ndogo = unaunguza mtaji mkubwa.
Dah mawazo yangu nilidhani ukiweka Eur/usd 100 unavuna 10 kumbe ni 1,000 unavuna cent.
Wazee wa forex mna roho ngumu. Salute guys
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona upo Race sana.Mimi ni beginners nimeanza jana kuisoma na kuifahamu forex so far nimerealize kuwa maskini forex ni asilimia kubwa kuliko kutajirika. Mfano unaorder hela kubwa sana kupata faida ndogo.
Mtaji mkubwa = faida ndogo
Kwenye process ya Kutafuta faida ndogo = unaunguza mtaji mkubwa.
Dah mawazo yangu nilidhani ukiweka Eur/usd 100 unavuna 10 kumbe ni 1,000 unavuna cent.
Wazee wa forex mna roho ngumu. Salute guys
Sent using Jamii Forums mobile app
V75 ukitake risk kubwa sana unatembea na lot ya 0.02 au 0.03 unakuwa unafanya scalping tu ..ila uwe unajua umachofanya kinyume chake ni akaunti inakuwa majivu ndani ya Dakika kadhaaOllachuga Oc, Hiyo v75 jamaa yangu alijuwa anatrade binary anaweka 0.01 lakini inatembea balaa mm nilikuwa naikwepa maana huwa natake risk kubwa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajaha mkuu umemaliza chuo gani?Kilichokufanya kukupa tishio la kulala njaa ni kutokuwa na Physically Investment ila uzuri umelijua hilo.
Kwa 10M fanya biashara ya 7M isiyo na mahesabu mengi na iliyo rahisi kusimamiwa na mtu hata kama haupo ninamaana ikifika wakati atakuwa anaisimamia mtu wewe unagonga pips zako geto...kwangu mimi biashara isiyo na mahesabu mengi Car wash na 7M ni mtaji sahihi hiyo 3M itakuwa akiba uta push hadi uhakikishe inaingiza faida then utageuka kwenye Forex hapo hata ukichoma account yote hutalala njaa...unanafasi kubwa ya kuwa success popa.
NB:USISAAU KUNIAJIRI GRADUATE MWENZIO NISIJE FARIKI BULE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah! Itabidi mkuu revenge trading ni mbaya sana..Ollachuga Oc,
Kwa sasa inabidi atulie kwanza angalau kwa miezi kadhaa huku akifanya mengine kama ilivyo marengo yake.
Vix75 ni hatari zaidi kama bado saikolojia yake haijatulia vyema. Ajipe muda
Dah braza nielekeze kuhusu hii kitu bado sijakupata..Na Iwapo hataki kutumia SL, basi awe mtaalam wa kufanya hedging either manually au aweke EA itakayokuwa ina monitor trades zake.
Moja ya EA nzuri ya hedging ni hii hapa: Hedge EA Advanced | Forex Trading App for MT4 ,Hii EA kwa sasa ipo ya Mt4 tu.
View attachment 1294700
Pichani ni hedging manually, ukiangalia hapo v75 badala ya Ku_buy nili_click sell, kuja kushtuka price iko mbali, nakafanya kufungua position Tano zaidi za BUY, manual hedging, ili ku_cover loss na kufunga trades zote baada ya profit kusoma.
jooohs asingepoteza fedha yote siku hiyo kama hii concept ya hedging angekuwa nayo na tayari alikuwa akitumia.
Dah braza pole sana ...M16+ within 2/3hrs unaeza rukwa na akili ila kuchoma ndo kujua zaidiMkuu unaongelea $1600 siku moja niliunguza $8000 nikiwa natrade news nililia kama mtoto mdogo
Naona SoMo unalielewa taratibu nenda mdogo.mdogo soon utaelewa FX ni Nini achana na kelele za JFNaendelea kupata somo la forex. Ndio nimefahamu maana ya pips. Kumbe mabadiliko ya currency sokoni ni kidogo sana in pips. Nilikuwa najua rate inabadilika kwa 100, 200 mpaka 1,000.
Najaribu kufikiria mfano miaka ya nyuma wakati dola 1 ni Tsh. 1,000, ina maana miaka hiyo lets say mwaka 1995 kama mtu alinunua dola 100,000 akaja kuziuza mwaka 2019 kwa rate labda ya 2,350 hii pesa kwa sasa itasound kama pesa nyingi sana.
Ila in reality itakuwa haina thamani kama ya mwaka 1995. Ina maana ukicheza forex sasa hivi kwa mabadiliko madogo sana ya pips yana thamani kubwa kwa sasa kuliko mabadiliko makubwa ya baadae.
Sent using Jamii Forums mobile app
9000tsh au 9000$?Kuna siku nili poteza 9000 per minute.
Na ilikuwa gbp pair. Ila FOCM inajua nilicho ifanyaaa. Mara mbili ya hiyoo.
Sent using Jamii Forums mobile app