Yaan we ndo hujui na hauna chochote unachojua kuhusu fx hujawahi kutrade kudeal na fx ndo maana unaropoka
🤣😁🤣😁😁 Sasahivi kahamia kwenye biashara ya mbaonikikumbuka ontario alisepa na kijiji chake huku, nacheka sana
bado yupo forex kuna kikundi flan whatsapp hua anafundisha🤣😁🤣😁😁 Sasahivi kahamia kwenye biashara ya mbao
Umemaliza kama hataelewa katika hili basi utakuwa umetimiza wajibu wako kikamilifuna pia unafaa ujue kwamba wanaotengeneza pesa kwenye forex hawasomi charts ni computer ndo znatrade wenyewe
VP mkuu mi nikuwekee trading history ya miez 3?we unaongelea kudeal tu na fx, naweza nkawa broker wako kabisa sio tu kudeal na fx! na sio wewe tu ambae ni mbishi kwenye forex wengi mnaotrade kwa mt4/5 na hamuielewi forex hata kidogo na mnategemea different results
Wanaelewa basi wao wakishashika mt4 zao amna ushauri mwingine, ilihali wanajua kabisa hakujawahi tokea tajiri, wa forex ila bado wanaka,za, vichwa wao wanadhan wapo more skilled na wana njia zao tafautiUmemaliza kama hataelewa katika hili basi utakuwa umetimiza wajibu wako kikamilifu
Wanaelewa basi wao wakishashika mt4 zao amna ushauri mwingine, ilihali wanajua kabisa hakujawahi tokea tajiri, wa forex ila bado wanaka,za, vichwa wao wanadhan wapo more skilled na wana njia zao tafautiUmemaliza kama hataelewa katika hili basi utakuwa umetimiza wajibu wako kikamilifu
wala ata usihangaike nipe tu id yako ya brokage ulioregister ntakusaidia kuziweka apaVP mkuu mi nikuwekee trading history ya miez 3?
bado yupo forex kuna kikundi flan whatsapp hua anafundisha
Yaan wewe hujui kitu bora unyamazeni huelewi ama unakaza fuvu? hakunaga fx market kwa ajili ya retail hio haipo na haiwezi tokea hakunaga kitu kama broker amekupeka sokoni kwasababu hilo soko halipo, yeye broker anatengeneza soko lake na anachukua ela kutoka loosers na kuwapa winners inaitwa LIQUIDITY kwa lugha nyepesi unachofanya wewe ni kubet leo EURO atampiga GBP ama vice versa BUT sio sokon ni kwa broker apo apo, wewe huezi access fx market kwa sababu halipo kwa ajili yenu na hauwezi tokea
Hiyo apo juuwala ata usihangaike nipe tu id yako ya brokage ulioregister ntakusaidia kuziweka apa
- wala usiwaze mkuu nipe id yakoHiyo apo juu
- sawa wewe unaejua 😂 😂 , we unadhan nakushangaa ndo wengi mnaotrade FX akili zenu zpo sawaYaan wewe hujui kitu bora unyamaze
Id ipi?- wala usiwaze mkuu nipe id yako
Id ipi?
Kwani hiyo niliyoweka ina kasoro?- wala usiwaze mkuu nipe id yako
Templerkila akaunti ya trading unayofungua in ID yake, unatumia broka gan
- hapana mkuu umejitahidi nataka kuona overall trades zakoKwani hiyo niliyoweka ina kasoro?
Templer
Sijaelewa hiyo id unayotaka, ila mi niko kwa Temler- hapana mkuu umejitahidi nataka kuona overall trades zako