Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Umemaliza kama hataelewa katika hili basi utakuwa umetimiza wajibu wako kikamilifu
Wanaelewa basi wao wakishashika mt4 zao amna ushauri mwingine, ilihali wanajua kabisa hakujawahi tokea tajiri, wa forex ila bado wanaka,za, vichwa wao wanadhan wapo more skilled na wana njia zao tafauti
 
Umemaliza kama hataelewa katika hili basi utakuwa umetimiza wajibu wako kikamilifu
Wanaelewa basi wao wakishashika mt4 zao amna ushauri mwingine, ilihali wanajua kabisa hakujawahi tokea tajiri, wa forex ila bado wanaka,za, vichwa wao wanadhan wapo more skilled na wana njia zao tafauti
 

Attachments

  • Screenshot_20240331-102558_MetaTrader 4.jpg
    Screenshot_20240331-102558_MetaTrader 4.jpg
    289.3 KB · Views: 27
ni huelewi ama unakaza fuvu? hakunaga fx market kwa ajili ya retail hio haipo na haiwezi tokea hakunaga kitu kama broker amekupeka sokoni kwasababu hilo soko halipo, yeye broker anatengeneza soko lake na anachukua ela kutoka loosers na kuwapa winners inaitwa LIQUIDITY kwa lugha nyepesi unachofanya wewe ni kubet leo EURO atampiga GBP ama vice versa BUT sio sokon ni kwa broker apo apo, wewe huezi access fx market kwa sababu halipo kwa ajili yenu na hauwezi tokea
Yaan wewe hujui kitu bora unyamaze
 
Back
Top Bottom