Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Forex sio mafanikio ya haraka kama watu wanavyodanganywa

Naomba uniletee trading history yako kama umepata faida asilimia 45 ya trades zako nikupatia kazi Frankfurt
Kuna watu wanatafutwa huku wawe wana good trades at keast 45 percent kwenye portfolio zao.
Mi kazi ya nini kama fund zinapatikana investor wanakuona kupitia mfxbook wanaona anaefaa wanampa fund
 
huezi jua kama chelsea atawin kwa sababu hauna taarifa za ndan ya chelsea hujui wameamka vp leo ama wamekuaje kwenye mazoezi ila kwa mazoea kwamba kila akikutana na manu lazima ashinde basi unampa chelsea, the same same way unavofanya kila price ikifika level imejirudia mnaita support na resistance, mkitegemea same results,


wewe ela yako umeweka sport pesa lakini utalipwa kutokana na mechi ya chelsea itakavoisha ulaya so hauwezi sema umewekeza ulaya bali unabet matokeo ya ulaya kwa kupitia sport pesa na kama kawaida sport pesa yeye anachukua ela ukiloose anampa alieshinda hamna pesa ya mfukon pale, sasa ndo mnachofanya watu wa mt4,
Sas trading aiendeshwi ivo wapo baadhi ya broker wanafanya ivo ila si kwamba wanaweza panga price ni soko lile lile , Unamjua broker aliefilisika?na broker anaefilisika ni yule anaekaa na oda na sio rahis pia kufilisika maana anakiwango chake cha risk kikifikia oda yako inaenda sokoni, Ila kampuni nying za bet hufilisika, kwanini
 
Sas trading aiendeshwi ivo wapo baadhi ya broker wanafanya ivo ila si kwamba wanaweza panga price ni soko lile lile
bro hakunaga soko la fx sasa wewe unataka ela zako ziende wap bank of tanzania ama? aya tuseme umeweka $100 unatrade na GBP hio ela inaenda soko ambalo liko wap? amepokea hizo hela za soko ni nan?

ela zako znaishia kwa broker na yeye ndo anafanya matching orders na ndo inabidi atafute customers wengi ili kue na LIQUIDITY, hakunaga soko linaitwa forex bali forex ni process ya kubadilishana fedha, lile tendo la kubadilishana pesa ndo linaitwa FOREX hilo soko unalowaza kichwan halipo na kila mtu anatrade kivyake humu humu tanzania kuna watu wanatrade KSHTSH ndo tunapata rate ya 1Ksh ni 20Tsh na kuna watu wanatrade tsh na usd na inapatikana 2800 ndo masoko yako ivi hakunaga sehem pesa zenu znapokelewa kijana,
 
Motives za soko ni tafauti, wanaofanya soko lisogee hawatrade kupata faida na wamaotrade kupata faida wanatrade electronically nkimaanisha ni computer znatrade sio mtu anasoma charts kama mnavofanya, ila nyie mnataka kuprofit kwenye soko ambalo mkubwa wako hana interest ya kupata faida, huoni ama ni uchizi huo?

angalia, mm nmetuma ela kenya kwa ajili ya matibabu labda ya mgonjwa kwa kua nmefanya transaction nmeuza tsh yule wa kenya kapewa ksh, wewe unataka kusoma charts kupredict watu wote wanaotaka kutuma ela za matibabu kenya kama sio uchizi ni nn huu sasa? ama mm nataka kununua gari nje nmeweka tsh benki kule wamepokea dola wewe unataka kusoma charts kujua kwamba leo kuna mtu anafanya mwamala wa tsh kununua gari, kwa lugha nyepesi hua kuna mda mnakuaga kama comedy
Sasa soko halimove kwa oda moja moja kama hizo mzee izo transaction ndogo ndogo zinajumuishwa then mwisho wa mwezi kunakuwa na financial repot iyo ndo ina move price mfano CPI (consumer price index) house selling, producer price index, etc
 
Sas trading aiendeshwi ivo wapo baadhi ya broker wanafanya ivo ila si kwamba wanaweza panga price ni soko lile lile , Unamjua broker aliefilisika?na broker anaefilisika ni yule anaekaa na oda na sio rahis pia kufilisika maana anakiwango chake cha risk kikifikia oda yako inaenda sokoni, Ila kampuni nying za bet hufilisika, kwanini
tatizo lenu ni mnakurupuka, na elimu yenu nyie ni ela ya kupeana kutoka kwa mentor na ndo hio hio mnayo mpaka leo, kirefu cha FOREX ni FOREIGN EXCHANGE kile kotendo cha kufanya exchange ndo kinaitwa FOREX hakunaga soko linaitwa forex halipo na haliwezi tokea, na pia wanaopata faida ni watu wanaotrade kwa CASH ama SPOT, anaefanya byuro de change anapata faida kubwa sana kuliko nyie wa mt4 ni basi tu hamjui na wanaoinfluence price ni watu wa cash, nkupe mfano kama ushawahi vuka boda kwenda nchi jiran ushakutana na watu wamebeba ela mkononi wanataka ubadilishe kwao, wale kila.mtu anarate yake kama.ushaenda benki kubadilisha pesa pia wale nao wanarate yao likewise kwa byuro de change na BOT pia wana rate yao, mfano pale binance tsh 1 inauzwa 2800 ila mtaani ni 2700 , nadhan unanielewa sasa kwamba hakumaga soko linaitwa forex
 
Sasa soko halimove kwa oda moja moja kama hizo mzee izo transaction ndogo ndogo zinajumuishwa then mwisho wa mwezi kunakuwa na financial repot iyo ndo ina move price mfano CPI (consumer price index) house selling, producer price index, etc
we jamaa ni kituko, zile ni siasa! siasa zna mchango mkubwa kwenye rate ya sarafu lakini sio kwamba ndo tegemeo la rates kwa sababu kila market wana rate zao mfano kuna watu wanatrade ksh na tsh, mfano 1 ksh ni 20tzs je na wao wanategemea CPI? vp UGX na TSH, in other words wewe ulikurupuka kuingia trading hukuielewa
 
Sasa soko halimove kwa oda moja moja kama hizo mzee izo transaction ndogo ndogo zinajumuishwa then mwisho wa mwezi kunakuwa na financial repot iyo ndo ina move price mfano CPI (consumer price index) house selling, producer price index, etc
kwahio price znamove mara moja kwa mwezi ivi we jamaa ni ulitoroka shule ama
 
Sas bishana hakuna forex market yani we unachowaza ni kwamba eti ina ofisi mahali no
 

Attachments

  • Screenshot_20240331-093221_Chrome.jpg
    Screenshot_20240331-093221_Chrome.jpg
    250 KB · Views: 25
  • Screenshot_20240331-093543_Chrome.jpg
    Screenshot_20240331-093543_Chrome.jpg
    344.4 KB · Views: 21
  • Screenshot_20240331-093459_Chrome.jpg
    Screenshot_20240331-093459_Chrome.jpg
    345.5 KB · Views: 22
  • Screenshot_20240331-093403_Chrome.jpg
    Screenshot_20240331-093403_Chrome.jpg
    330.8 KB · Views: 20
  • Screenshot_20240331-093343_Chrome.jpg
    Screenshot_20240331-093343_Chrome.jpg
    349.6 KB · Views: 20
  • Screenshot_20240331-093305_Chrome.jpg
    Screenshot_20240331-093305_Chrome.jpg
    293.9 KB · Views: 21
Sas bishana hakuna forex market yani we unachowaza ni kwamba eti ina ofisi mahali no
1711867669259.png

sasa unaniambia mm au wewe ndo ubishane, hakunaga forex market broker ndo market yako bablai! aliekua anawaambia order znaenda sokoni mtumie hii screenshot
 
sasa wewe unabishana kitu hukijui
maokoto hio sahau ata upewe miaka, 100 as long hautrade kwa cash maokoto hio sahau

labda ufundishe ila maokoto kwenye trading toa akilini kwako its impossible
 
so mpaka umeenda kwa broker maaana yake huna uelewa wa forex ni nn bali ulidumbukia tu uko kwa sababu broker aliwaaminisha ivo, when you trade kwa broker hautumii cash unatrade kitu kinaitwa (PERPETUAL CONTRACTS) kwa lugha nyepesi ni broker anakwambia tufanye kama unamiliki izi pesa japo hauna izo pesa alafu ikitokea mtu katrade tafauti tutachukua ela zake tutakupa wewe:

same way na wewe ukienda tafauti pesa zako tutampa mtu mwingine
Yaan we ndo hujui na hauna chochote unachojua kuhusu fx hujawahi kutrade kudeal na fx ndo maana unaropoka
 
Nimechoka kubishana cha muhimu maokoto
1711869194766.png


labda nkurahisishie, as long unasoma charts basi ndo umenunua ticket ya kuzingua forex, kama unajipa matumaini ya kuja kupata ela forex hio ondoa akilini, saaahv kazana kwenye kufundisha ama kushare links za brokers apart from that hata upewe miaka 100 na charts results ni zile zile na sio wewe tu ni asilimia 99% ya traders wote
 
Yaan we ndo hujui na hauna chochote unachojua kuhusu fx hujawahi kutrade kudeal na fx ndo maana unaropoka

we unaongelea kudeal tu na fx, naweza nkawa broker wako kabisa sio tu kudeal na fx! na sio wewe tu ambae ni mbishi kwenye forex wengi mnaotrade kwa mt4/5 na hamuielewi forex hata kidogo na mnategemea different results
 
Back
Top Bottom