Fountain Gate yainunua Singida Big Stars. Klabu hiyo sasa kuitwa Singida Fountain Gate Footbal Club

Huenda Mwigulu amehisi anaweza kutolewa hazina
 
SI mgesema tu mmebadilisha jina.
Una nunua kitu alafu kinabaki kwa mwenye nacho!
 
Utaratibu wa CAF timu yoyote inayoshiriki mashindano Yao lazima imiliki timu ya wanawake ya Soka. Sio kweli singida imeuzwa Bali ni kamchezo ka kuhalalisha ushiriki wao wa mashindano ya CAF
Nilivyofuatilia. CAF wametoa machaguo mawili hivyo kuchagua moja.

Ama timu shiriki kuwa na timu yake ya wanawake au timu shiriki kuingia makubaliano na timu yoyote ya wanawake.

Hao SBS wana mambo yao tu, wanajua wao.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kulikuwa hakuna namna ya kuingia makubaliano bika kununua timu nzima?

Kwahiyo mashindano yakiisha SBS itarudi?

Nafikiri kuna tofauti kati ya "Kununua" na "Kuingia Makubaliano" ukizingatia CAF walitoa option mbili zote

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
hujui? azam wameshanunua timu ya wanawake kitmbo tu
 
Mwigulu amewapoteza maboya...
Rejea kigezo cha kubaki Singida...utagundua hesabu ilichakatwa
 
Isije ikawa ni kutafuta namna ya “kutakatisha”…. Nawaza tu[emoji3]
 
Singida wajanja wameona kwamba kwa sheria za CAF ili kushiriki mashindano ya caf lazima uwe na timu ya wanawake wameamua kuungana
Asante, sijui kwanini hao wasanii wasituambie ukweli wanajizungusha kama vile kutokuwa na timu ya wanawake ni dhambi...

Bahati mbaya Mwigulu atakuwa bado yupo hapo, na ataendeleza ushemeji wake na utopolo.
 
hivi huyu jamaa ana uwezo kulipa mishahara wachezaji, kwa hizo shule tu. nampongeza.
 
Timu ya soka iliyodaiwa inamilikiwa na Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD Singida Big Stars Imeuzwa

Hata hovyo Dr Mwigullu PhD alishakanusha bungeni kwamba yeye hamiliki Timu yoyote ni mdau tu wa Michezo

Source Ayo tv
 
Hii nchi inabidi kuwa makini uza uza imezidi sana.......

Unaweza ukaamka asubuhi ukajikuta una mb*o plain bila p*mbu huku elfu hamsini wameisukumiza ndani ya chup na sms kwenye cm ikisema IYO ELFU HAMSIN ENDELEA KUITUMIA TUSHANUNUA HIZ MBUPU
Kweli wewe ni DUBULI HASA!!!😁😁
 
Unauza timu kwa asilimia mia halafu unaweka condition kwamba ibaki Singida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…