Uchaguzi 2020 Fr. Kitima: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na vifo vingi kuliko chaguzi nyingine zote

Huyo Kitima nimemuona bwege tu bwege tu, kazi kujisifia tu na kujiona ana hoja za maana
 
Mkuu, unataka kila Fr.aseme ndo uamini anachokisema?
Unaijua nafasi yake ndani ya TEC? na je, majukumu yake ndani ya TEC unayajua?

Fuatilia vizuri historia ya TEC, na waliowahi kushika nafasi aliyo nayo Fr. Charles leo, mmoja wapo ni Fr. alalekuntwa, angalia wakati wake alikuwa anafanya nini then urudi kumhukumu!
 
Acha kumwamini mwandamu anaweza kuwa na hila zake tu! Asitake kutuaminisha kila hisia zake za kijinga zinazosukumwa na chuki ndani yake!
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Mtafute aliyeiloga akili yako
Hivyo tu
 
akina Mdee tuliona wakituonyesha makaratasi tu ya kura bandia, hao watu wengi Kitima aliosema wamekufa, walikufa mkoa upi?

Huyu padre naye ndio maana Kagame anawafunga, kanisa katoliki liliusika sana na mauaji ya Kimbali nchi Rwanda.
Kwa hiyo wewe tatizo lako ni Kanisa, na wala siyo hayo aliyosema padre?
 
Huyu mwamba ni Msema ukweli na Mungu amuweke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…