Hivi uchaguzi ule unaweza kusema watu wengi waliouawa? Lengo ni kumchafua Magufuli? Na hao akina na Kitima wanafiki wakubwa!Kusema ukweli ni chuki? Au unatamani angeyasema unayo yapenda kiyasikia?, kwani unadhan 2020 ulikuwepo wewe peke yako tu tanzania na wengine hawakuwepo wala hawakuona kilicho tokea?