Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,190
Weka original ambayo hainaetiwa na uache kuandika kichoko.Ameedit mama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka original ambayo hainaetiwa na uache kuandika kichoko.Ameedit mama wewe
Acha kumlinganisha Kitima na reject.Hivi Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) linasubiri nini kumtimua Katibu Mkuu huyu kama lilivyofanya kwa Wilbroad Silaa. Kitima anapaswa kufutwa upadre aende akaoe na kufanya kazi za siasa huko chadema kwa homeboy wake Lissu.
Jifunze kwanza kuandika vizuri
Watu wakikosa hoja huzungumzia kilema cha mtoa hoja kana kwamba wao ni malaika. Una thubutu hata kuandika! usivyo na uwezo wa kufikiri kuhusu jambo hilo unalofikiri ni hoja ya kuianika hadharani!Fr unataka tukuumbue wanawake uliozaa nao?
Subiri vita ya urusi na ukrene viwachome,safari hii haponi mtu ndugu yangu sindano lazimama iwaingie kwelikweliYeye Huyo father ameshuhudia vifo vingapi na amezika watu wangapi?
Chaguzi zote ukiacha za mwalimu hakuna hata moja isiyokuwa na dosari za kuibwa kura.
Acheni chuki binafsi walioshindwa 2020 walishindwa kama wagombea wengine kura zao hazikutosha wagombee 2025 mbona nafasi zote zipo wazi hata ya Urais
Wewe kweli umemsikiliza Father Kitima au nia yako ni ubishi tu? Kakueleza amewahi kumweleza Rais Magufuli wakati wa uhai wake kuwa utumbuaji wa watumishi wa umma unaofanywa na viongozi chini yake ni batili. Hujabisha hilo ila unakimbilia kuhitimisha unalotaka kusema tu! Majibu ya aina yako hayafanywi na watu waliobahatika kuelimika.Siku hizi kila kitu ni siasa hadi makanisani
Hainaetiwa[emoji777]Jifunze kwanza kuandika vizuri
Angeyasema wakati wa bwana yule, leo yatasaidia nini? Ushasikia toka mama kaingia kuna wasiojulikana?Father Kitima naye ana mwili wa nyama aliogopa wasio julikana wasimfanye kitu mbaya maana aliyo yapitia mwenzie Askofu Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge hakutaka yamfike,.
Father Kitima siyo mnafiki amesimama kwenye ukweli tu, viongozi wa Dini aina ya Kitima ni wachache mno.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
aliku dicteta wewe?
Watu wengi Sana waliuawa kimya kimya na ndio kipindi magereza yalijaa wafuasi wa chadema ambao mama kawaachia.Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli?
Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu!
Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!
Ni kweli mnaumia ila ndo ukweli 2020 hatukuwa na Uchaguzi tulikuwa na selection aliyoipanga ibilisi na kuiendesha mwenyewe kishamba akisaidiana na vyombo.Yeye Huyo father ameshuhudia vifo vingapi na amezika watu wangapi?
Chaguzi zote ukiacha za mwalimu hakuna hata moja isiyokuwa na dosari za kuibwa kura.
Acheni chuki binafsi walioshindwa 2020 walishindwa kama wagombea wengine kura zao hazikutosha wagombee 2025 mbona nafasi zote zipo wazi hata ya Urais
Kweli haukuwa uchaguzi ilikuw ani kituko kabisaKatibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.
Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.
Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.
Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Dikteta alikuwa katili snWatu wengi Sana waliuawa kimya kimya na ndio kipindi magereza yalijaa wafuasi wa chadema ambao mama kawaachia.
Alifanya mambo ya kijinga snNi kweli mnaumia ila ndo ukweli 2020 hatukuwa na Uchaguzi tulikuwa na selection aliyoipanga ibilisi na kuiendesha mwenyewe kishamba akisaidiana na vyombo.
Naye ni binadamuHapp kakosea Sana. Kasema wengi wamekufa halafu anadai hakuna aliyemkosea mwenzake. Sijaelewa alikuwa anamaanaisha Nini.
Punguza mihemko kanisa katoliki ni taasisi kubwa, ina vyanzo vingi vya taarifu, inazika waumini wake na kujua wamekufa kwa sababu gani, wewe kumbishia Fr. Charles na kupanic bila kuwa na vyanzo vyovyote vya taarufu unakosea mnooo!Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli?
Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu!
Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!
Huyu ni kundi la Singida na mfuasi mkuu wa Lissu.Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.
Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.
Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.
Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Kwa hiyo yeye kageuka kuwa msemaj wa Kanisa katoliki? Mbona kuna maaskofu wengi kanisa katoliki ushawahi kuwasikia wanaongea ujinga ambao kila siku anaushadadia huyu padri mwanasiasa! Huyu ni mjinga aliyejificha kwenye Joho! Alete ushidi ni sawa tu na Mwingira yule mzinzi!Punguza mihemko kanisa katoliki ni taasisi kubwa, ina vyanzo vingi vya taarifu, inazika waumini wake na kujua wamekufa kwa sababu gani, wewe kumbishia Fr. Charles na kupanic bila kuwa na vyanzo vyovyote vya taarufu unakosea mnooo!