Uchaguzi 2020 Fr. Kitima: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na vifo vingi kuliko chaguzi nyingine zote

Uchaguzi 2020 Fr. Kitima: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na vifo vingi kuliko chaguzi nyingine zote

Hivi Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) linasubiri nini kumtimua Katibu Mkuu huyu kama lilivyofanya kwa Wilbroad Silaa. Kitima anapaswa kufutwa upadre aende akaoe na kufanya kazi za siasa huko chadema kwa homeboy wake Lissu.
Acha kumlinganisha Kitima na reject.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fr unataka tukuumbue wanawake uliozaa nao?
Watu wakikosa hoja huzungumzia kilema cha mtoa hoja kana kwamba wao ni malaika. Una thubutu hata kuandika! usivyo na uwezo wa kufikiri kuhusu jambo hilo unalofikiri ni hoja ya kuianika hadharani!
 
Yeye Huyo father ameshuhudia vifo vingapi na amezika watu wangapi?

Chaguzi zote ukiacha za mwalimu hakuna hata moja isiyokuwa na dosari za kuibwa kura.

Acheni chuki binafsi walioshindwa 2020 walishindwa kama wagombea wengine kura zao hazikutosha wagombee 2025 mbona nafasi zote zipo wazi hata ya Urais
Subiri vita ya urusi na ukrene viwachome,safari hii haponi mtu ndugu yangu sindano lazimama iwaingie kwelikweli
 
Siku hizi kila kitu ni siasa hadi makanisani
Wewe kweli umemsikiliza Father Kitima au nia yako ni ubishi tu? Kakueleza amewahi kumweleza Rais Magufuli wakati wa uhai wake kuwa utumbuaji wa watumishi wa umma unaofanywa na viongozi chini yake ni batili. Hujabisha hilo ila unakimbilia kuhitimisha unalotaka kusema tu! Majibu ya aina yako hayafanywi na watu waliobahatika kuelimika.
 
Ambao Samia alishinda kwa kishindo na hatimaye kuwa Makamu wa Rais.
 
Father Kitima naye ana mwili wa nyama aliogopa wasio julikana wasimfanye kitu mbaya maana aliyo yapitia mwenzie Askofu Niwemugizi wa Jimbo la Rulenge hakutaka yamfike,.
Father Kitima siyo mnafiki amesimama kwenye ukweli tu, viongozi wa Dini aina ya Kitima ni wachache mno.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Angeyasema wakati wa bwana yule, leo yatasaidia nini? Ushasikia toka mama kaingia kuna wasiojulikana?
 
Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli?

Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu!

Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!
Watu wengi Sana waliuawa kimya kimya na ndio kipindi magereza yalijaa wafuasi wa chadema ambao mama kawaachia.
 
Yeye Huyo father ameshuhudia vifo vingapi na amezika watu wangapi?

Chaguzi zote ukiacha za mwalimu hakuna hata moja isiyokuwa na dosari za kuibwa kura.

Acheni chuki binafsi walioshindwa 2020 walishindwa kama wagombea wengine kura zao hazikutosha wagombee 2025 mbona nafasi zote zipo wazi hata ya Urais
Ni kweli mnaumia ila ndo ukweli 2020 hatukuwa na Uchaguzi tulikuwa na selection aliyoipanga ibilisi na kuiendesha mwenyewe kishamba akisaidiana na vyombo.
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.

Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.

Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.

Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Kweli haukuwa uchaguzi ilikuw ani kituko kabisa
 
Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli?

Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu!

Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!
Punguza mihemko kanisa katoliki ni taasisi kubwa, ina vyanzo vingi vya taarifu, inazika waumini wake na kujua wamekufa kwa sababu gani, wewe kumbishia Fr. Charles na kupanic bila kuwa na vyanzo vyovyote vya taarufu unakosea mnooo!
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.

Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.

Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.

Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Huyu ni kundi la Singida na mfuasi mkuu wa Lissu.
 
Punguza mihemko kanisa katoliki ni taasisi kubwa, ina vyanzo vingi vya taarifu, inazika waumini wake na kujua wamekufa kwa sababu gani, wewe kumbishia Fr. Charles na kupanic bila kuwa na vyanzo vyovyote vya taarufu unakosea mnooo!
Kwa hiyo yeye kageuka kuwa msemaj wa Kanisa katoliki? Mbona kuna maaskofu wengi kanisa katoliki ushawahi kuwasikia wanaongea ujinga ambao kila siku anaushadadia huyu padri mwanasiasa! Huyu ni mjinga aliyejificha kwenye Joho! Alete ushidi ni sawa tu na Mwingira yule mzinzi!
 
Back
Top Bottom