Uchaguzi 2020 Fr. Kitima: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na vifo vingi kuliko chaguzi nyingine zote

Uchaguzi 2020 Fr. Kitima: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na vifo vingi kuliko chaguzi nyingine zote

Yeye Huyo father ameshuhudia vifo vingapi na amezika watu wangapi? Chaguzi zote ukiacha za mwalimu hakuna hata moja isiyokuwa na dosari za kuibwa kura acheni chuki binafsi walioshindwa 2020 walishindwa kama wagombea wengine kura zao hazikutosha wagombee 2025 mbona nafasi zote zipo wazi hata ya Urais
Kwani 2020 kulikuwa na UCHAGUZI au kulikuwa maigizo ya uchaguzi??
 
Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli? Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu! Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!

Wewe unamuongelea Lissu, je mbunge Bakari wa ACT Pemba aliyepigwa Risasi kipindi Cha uchaguzi kaja kufariki baadaye.
 
Father Kitima japo ni Padre wangu lakini naona kakosa msimamo ni huyu huyu wakati wa JPM alikuwa akisifia kila kitu leo ameguka tena kuwa mkosoaji je kwa nini huo ukosoaji hakuuweka wazi tangu mwanzo Kiongozi wa dini msimamo wake unapaswa kuwa thabiti siku zote sio kubadilikabadilika.
Binafsi nakumbuka alikuwa anatoa kauli kinzani na misimamo ya Simba wa Yuda.Hata jambo la Corona hakumuunga mkono Magu njia aloitumia yakujifukiza majani ya milingoti.
 
Zanzibar uko Karume alizamisha watu kwenye mashua wengine wakapigwa risasi na jeshi. Lakini watakwambia nchi hii hakujawai tokea mauaji kama kipindi cha Magufuli.

Hivi Magufuri huyu aliyemtuma Sirro kuweka kambi Pemba?. Hadi mbunge Bakari wa ACT akafariki kwa kupigwa Risasi. Ubaya wa karume haumfanyi Magufuli kuwa mzuri. Wote Ni wauaji.
 
Hakina mdee tuliona wakituonyesha makaratasi tu ya kura bandia,hao watu wengi Kitima aliosema wamekufa,walikufa mkoa hupi?huyu padre naye mpuuzi tu ndio maana Kagame anawafunga,kanisa katoriki liliusika sana na mauaji ya Kimbali nchi Rwanda.

Usikimbie ukweli kwa kuonesha ubaya wa Watu wengine. Magufuli alikuwa muuaji ndio maana naye kaondoka akakutane na roho alizoziua. Mbona Pemba Watu wamepigwa Risasi na habari zikizuiwa mpaka alipofariki Mh Bakari Mbunge huko Pemba kwa kupigwa Risasi mguuni. Wakati wa Magufuli taarifa zilikiwa zinaminywa.
 
Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli? Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu! Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!
Ukweli unakuuma?
 
Usikimbie ukweli kwa kuonesha ubaya wa Watu wengine. Magufuli alikuwa muuaji ndio maana naye kaondoka akakutane na roho alizoziua. Mbona Pemba Watu wamepigwa Risasi na habari zikizuiwa mpaka alipofariki Mh Bakari Mbunge huko Pemba kwa kupigwa Risasi mguuni. Wakati wa Magufuli taarifa zilikiwa zinaminywa.
Sasa kama ziliminywa yeye kazipata wapi? wakati wa uchaguzi watu tulikuwa jamii forums, Facebook, iliyofungwa ni tweet tu, nayo watu walikuwa wanaingia kupitia VPN, hatukuona taarifa zozote za vifo, sanasana karatasi za bandia, binadamu sio Kama mende eti watu wengi wafe vyombo vya habari visijue, BBC na Dw vyombo vya kimataifa vilikuwepo hatukuona vikizuiwa kutoa tarifa, au kufungiwa, huyo Padre wenu alikuwa na chuki na Magufuri tu.
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.

Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.

Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.

Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Wewe Father ndio mnafiki wa kwanza, ulikuwa wapi hujayasema hayo yalipotokea? Au ulishiriki unataka kujikosha?

Au mlikuwa mnaliogopa jiwe? Mliufyata kama alivyoufyata FaizaFoxy wakati wa bwana yule.
 
Wewe Father ndio mnafiki wa kwanza, ulikuwa wapi hujayasema hayo yalipotokea? Au ulishiriki unataka kujikosha?

Au mlikuwa mnaliogopa jiwe? Mliufyata kama alivyoufyata FaizaFoxy wakati wa bwana yule.
Hata wewe uliufyata ukawa mpole kama unanyolewa
 
Hata wewe uliufyata ukawa mpole kama unanyolewa
Unafanya mchezo na dikteta yule? Si unamuona Father Kitima anavyoleta unafiki hapo? Sasa twala asali.

Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.

Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.

Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.

Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Kila ubaya utalipwa
 
Father Kitima japo ni Padre wangu lakini naona kakosa msimamo ni huyu huyu wakati wa JPM alikuwa akisifia kila kitu leo ameguka tena kuwa mkosoaji je kwa nini huo ukosoaji hakuuweka wazi tangu mwanzo Kiongozi wa dini msimamo wake unapaswa kuwa thabiti siku zote sio kubadilikabadilika.
Itakuwa aliogopa kutekwa..
 
Yeye Huyo father ameshuhudia vifo vingapi na amezika watu wangapi?

Chaguzi zote ukiacha za mwalimu hakuna hata moja isiyokuwa na dosari za kuibwa kura.

Acheni chuki binafsi walioshindwa 2020 walishindwa kama wagombea wengine kura zao hazikutosha wagombee 2025 mbona nafasi zote zipo wazi hata ya Urais
Tumia akili angalau kdg tu, ili uweze kujibu hoja! Kwa mtindo huo hutokaa uweze kujibu hoja makini!!

IMG_20220319_110634.jpg
 
Jamani uchaguzi 2020 ulikuwa na vifo vingi? Kweli?

Lisu alikuja akafanya kampeni bila watu kuuana! Huyu askofu anachuki zake za kipumbavu tu!

Nasikia ni home boy wa Lisu! Hivo vifo aliviona yeye tu? Ujinga kabisa!
Pole san mkuu 🤣🤣🤣, unapata weweseko hili kutokea mitaa gan 😂😂😂
 
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Tanzania (TEC), Fr. Charles Kitima ambaye aliwahi kuwa Vice Chancellor wa SAUT amekosoa wizi wa kura na kusema ni dhambi kwa Mungu kwa sababu ni uongo lakini pia inapelekea kuwa na viongozi wabaya. Amesema kwa miaka sita iliyopita, mazingira ya siasa Tanzania yameharibiwa kiasi cha kutoweza tena kuwa mfano wa nchi nyingine kuja kujifunza demokrasia nchini Tanzania.

Amekosoa suala la kuwa na wabunge wengi kupita bila kupingwa kwa wakati huu. Akiitaja hiyo kuwa ni sababu ya vijana wengi kutojihusisha na masuala ya siasa ikiwemo kupiga kura. Hivyo halihuwa ni mbaya na kupata viongozi wasiostahiki.

Aeyasema hayo katika kikao cha TCD ambacho pia amekikosoa kuwa hakuna haja ya maridhiano kwa kuwa hakuna waliokoseana. Hivyo ni jukumu la nchi kuweka mipango ya kusonga mbele na sio kuwa na maridhiano kwa sasa.

Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Chaguzi 2020 utabaki kuwa mwiba kwa miaka mingi kwa kila aliyeshiriki uhalifu ule.
 
Acha unafiki. Nikweli Kura ziliibiwa. Kwa mfano Jimbo la Tabora Mjini Hawa Mwaifunga alinyanganywa ushindi mchana kweupe. Alishinda kata nyingi na mgombea wa ccm alishinda kata mbili tu.

Kukataa mabaya ya nyuma na kuyafunika ndio chanzo Cha mgogoro. Ni Bora kukubali makosa na kusameheana ndipo amani ya kweli itakuja.
Maridhiano feki ya Samia na genge lake la juzi.

Mh samia anaona aibu. Anajua kilichotokea.
 
Wewe hapa unayapayuka , kwa msukumo wa unazi juu ya mtu au chama bila ya kuwa na takwimu zozote.

Usitegemee mtu kama huyo anaweza kusema maneno kama hayo, tena kwenye hadhara ya aina ile bila ya kuwa na ushahidi anaoutegemea.
Team Scam Gang hao wanatabu sana.
 
Back
Top Bottom