Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Hahaha... Huyu lazma awe na kadi ya chama ya ccm.....
UDSM kweli ina produce kila aina ya wataalam,
UDSM kweli ina produce kila aina ya wataalam,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna shoolmate wako wawili humu wamedai alifanyiwa kitunamfahamu huyu dogo tulikuwa naye pale st .matthews 2006 kipindi hicho akiwa form one!! MUNGU AMSAIDIE ABADIRIKE
Mpaka hapo ..haitaki tochi..namfahamu huyu dogo tulikuwa naye pale st .matthews 2006 kipindi hicho akiwa form one!! MUNGU AMSAIDIE ABADIRIKE
Itakua pumbu tu ilihusika mkuu.Kuna shoolmate wako wawili humu wamedai alifanyiwa kitu
Ni kipi hiko ?
Ntakua nakufaham chief,ulkua j,k,l,m,n,p,q au rHuyo sio riski
Aliyesoma st.matthew ya mkuranga.. 2006 form 1 anaelewa ninachoongea...
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we nomaaaNtakua nakufaham chief,ulkua j,k,l,m,n,p,q au r
I thnk ntakua nakufaham too chief,ulkua j,k,l,m,p,q au rnamfahamu huyu dogo tulikuwa naye pale st .matthews 2006 kipindi hicho akiwa form one!! MUNGU AMSAIDIE ABADIRIKE
Ah ah ulkua kwa magenius wakina moses[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] we nomaaa
Nilikuwa j
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Moses mihanda.. wakina nancy merina...Ah ah ulkua kwa magenius wakina moses
I know this dude,school na nje ya school kidogo,Kipaji hicho kinawakilisha wanaume wa Dar, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) shule ya biashara (UDBS).
View attachment 687493 View attachment 687495
Yaap,ah ah bila shaka ntakua nakujua,Moses mihanda.. wakina nancy merina...
Hahahahahah
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji15][emoji15]Huyu siku nilimuona maeneo ya mwenge anaelekea kwa mafundi nguo ilibidi nistuke,nikajiulize ni Ke au Me?ilibidi nimsogolee kumsalimia nikachukua namba yake ya simu
Mkuuu kama hujamaliza ivi [emoji15][emoji15][emoji15]Alikuwa anakaa Survey (karibu na Survey Motel) niliingia mpaka ghetto kwake. Msafi sana hana harufu kabisa
Ww ni me au keAlifanyaga kazi vodacom kama mpiga picha wa event zao nilikuwa namwona
Na alikuwa anaishi mwenge mwaka 2016 tulikuwa majirani ni mzuri huyo msafi hatari sauti nyororo ngozi laini aiseee afu hips zimejazia vizuri yaani huyu nilikuwa siishiwi kumtizama nikikutana naye