Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa mbona huu uzi hautaki kuuacha upoe.Astafirulillah
UshenziLazima kutambua uwepo na third gender, na haki zao kuheshimiwa.
huyu jamaa anajuaLil Nas x
AiseeeWoyoo
B12 nakuona unapambania haki yako. Not in this country forget it.Lazima kutambua uwepo na third gender, na haki zao kuheshimiwa.
Kabila gani?. Leo anakuja Unguja, wacha tuone.Siyo MHAYA.
Na hayo maumbile yakabadilikaje kuwa ya kike hebu tujuze uhusiano hapo???Naskia alifundishwa mchezo na mwalimu wake wa primary shule ya st.marys.
Shule hizi. MUNGU atunusuru
Hips, lipsNa hayo maumbile yakabadilikaje kuwa ya kike hebu tujuze uhusiano hapo???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akuokoe....Huyu ukimpata unamfiligisa vzr sn
HakikaSitamkejeli manake anaonekana wazi ana tatizo la kibailojia huyu!
Kwani ni hiyari yako azaliwe hivyo?kwa hasira nilizonazo nafikiri siwezi vumilia kuwa na mtoto wa hivyo
Shape yake ya kike au anajifanyisha?Ahh huyu miaka miwili iliyopita tulikuwa tunaishi mwenge jirani ni mwanaume Ila anapenda fashion afu niliwahi muona vodacom akipiga pic event moja hivi
Abadilike vipi?namfahamu huyu dogo tulikuwa naye pale st .matthews 2006 kipindi hicho akiwa form one!! MUNGU AMSAIDIE ABADIRIKE
DuhMkuu namkumbuka pia pale UDSM alikiwa na company ya mabinti tu.. Anajipodoa mixer kupaka lipbam na wanja..