Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
kukopa kopa hovyo ni kupi? Taja hiyo mikopo ya hovyo hapa.Ndo maana mama kaambiwa asikopekope ovyo
Natamani nikujibu, ila naomba wakati ukujibu, leo acha nipige kimya!Wameharibuje? weka ulinganifu
Harafu wapuuzi sijui wanamfanya nani mtoto.Harafu hii mentality ya kijinga kuhusu mikopo aliwafundisha nani?JPM ndiye rais aliyekopa kuliko wote tangu 1961 na Ndugai akiwa spika alikaa kimya, aliufyata kama haoni kilichokuwa kikiendelea.
Leo analeta dharau kwa sababu anamuona rais ni mwanamke.
Rais mwingine akija ndio ataamrisha bei zishuke afu zitashuka au? 😀 😀Hivi nyie Wazee wa huko humuoni mambo yalivyoparaganyika? Kumbukeni basi hata ndugu zenu mliowaacha Kijijini maana bei ya bidhaa haishikiki. Ambao hawajakulia kwenye mboga Saba wanajua naongea nn.
Kwamba mwendazake alikuwa mzalendo au?😀😀.Ninatamani jamaa arudi kutuelezea je kuwa mzalendo nchi hii ni kosa?
Maana kama kweli walimwondoa wakaacha waliowaacha kutufanyia wanayotufanyia mtumia akili nyingi kweli akili zake zimezidi na kuzidi mpaka amechanganyikiwa na hao wenzake walioamua kufanya walichokifanya...I know and I know giza likitandaa zaidi asubuhi inakuwa imekaribia...My Aba father, unanini nami? Muda wangu bado!
Will never happen,mark my wordsAlikwambia angalia digits za mwisho. 1933 digit ya mwisho ni 3.
So, anachokisema ni 2023-2025 (2 years). Hii timeframe haitoshi kuwa awamu. As such, huyu anaruhusiwa na Katiba kugombea na kuongoza kwa mihula miwili ya 5 years each: 2025-2035
Kwa lugha rahisi huyu ndugu anajenga hoja kwamba Hangaya ataachia by end of 2022 (kifo, kuondolewa, anything) na makamu wake atachukua Nchi hiyo 2023🙂
Katiba yetu kimsingi imempa unafuu sana Makamu kutwaa Nchi kiuraini
Japo hizi ni wishful thinking ila kama ikitokea nitafurahi sana ili huyo mpango awe na msimamo kama wa JPM na awaweke headliners wote kuongoza Nchi afu tuone baada ya miaka 5 mje na hesabu wangapi wamekuwa matajiri na wangapi wamekuwa maskini.Mungu zuia hili lisitokeee,sijawahi kumuelewa Philip Mpango.
Ndio maana nasema Nchii ima wajinga wengi sana kwenye vyeo mkiweno nyie wafuasi.Kwamba mpaka mafuta ya Kula au vyakula vimepanda bei kutokana na Vita vya urusi na Ukraine
who are they?We nadhani una udugu na akina Msowero siyo kosa lako...😂😂😂
Wakati upi tofauti na huu? kwa hiyo wewe mwenzetu ulikuwa mnufaika wa zama za jiwe wakati tunasema vyuma vimekaza mnatujibu tuache kupiga dili si ndio?Natamani nikujibu, ila naomba wakati ukujibu, leo acha nipige kimya!
Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Amewahi tabiri kitu kikatokea?Ohooooo tumia akili again
Ina maana kuna kiongozi ataongoza hapa for 12 good years
Sikupingi imepita iyooo
Mrundi yupi mkuuNaona mnataka kumuua na huyu mama ili mumuweke huyo mrundi wenu
DuuhWewe ndio hujaelewa mkuu, tafuta uzi mwingine huu ni mwendelezo wake!
Eng. inasemekana huyu mwamba ndio mhandisi mkuu wa mapinduzi ya kifedha tangu zama za stone; beauro de change// task force etc. etc. Na hata mamushka alipompromote alisema anataka amsaidie kwenye sekta hiohio aliobobea kiumahiri kwaio hizi tozo// luku+buku// na postcode ni gia ya kuvuna mchele pia ila hawasemi etc. etc.Tumia akili, unamanisha huyu mwamba ambaye ni makamu anaweza tuvusha kweli, Mana simwamini nahisi ana philosophy za jiwe ivi
Me niko karibu yako nakufuatilia kwa uzuri kabisa huenda tafsiri zako na maono yako yakawa kweli mkuu.Wakimweka wa bara itaonekana wamemuondoa coz ni mzenji, wakimweka mkristo watasema wamemuondoa coz ni muislamu!Sasa atakaeingia anapaswa awe mwanamme muislamu mzanzibari !!!kuna jina teuliwa naliona limeandaliwa tena aliwahi tumika kama Waziri kiongozi wa smz na Waziri wa mambo ya ndani na Waziri wa ulinzi aliepokewa na Mwinyi junior!!!kiswahili ni JUA tafsiri ya jina lake kiarabu!! mtumishi humble,calm, visionary,patriotic na intelligent!!!nimemuona tayari anakuja na ni mkali kama jpm!!!huyo Ndio FDR WETU!!!?
Labda utateuliwa kuwa Mwambata wa Balozi kwa nchi zinzozungumza Kifaransa, fanyia kazi ndoto yako mkuuSiasa za Bongo no schooling my friend!!japo nitazingatia coz mara mwisho nimeota NIPO na jk akiniambia nikajifunze kifaransa sijui kwa nini!!!?