Ni nani!!? Magamba matatu anasema ni Arabic by faith au ni B.A.K yule aliekuwa KATIBU mkuu kiongo
Wala hata usijali, kila mtu ajapo duniani Huwa anayo MISSION ya kutimiza duniani. Hata ktk Kutoa maoni yapo mengi yanasaidia Nchi.Mission YAKO pia naijua!NENO ZITO SANA HILO HADI NIMEOGOPA!MIMI NI MEMBER TU SINA MISSION YOYOTE LABDA DEVINE POWERS ZIAMUE NIWE MTU!!
Kukiri na kuamini siyo lazima uende majengoni, hii huitwa mahusiano binafsi wewe na huyo uliyemkiri atakuongoza mpaka kufika pale unapopataka. Lakini ukitaka kuongozwa na hajataka uongozwe bali usimame kwa miguu yako utapotezwa.Kumbe shetani amemeza Baraka na utajiri wangu!!!!?Aiseh niache dhambi!!?nitaweza kweli!!!?Maana taasisi za kiroho si ziamini huwafanya watu Kuwa watumwa wa jumapili au mosi kwa mapato kulishanichosha Sana huko!! MAUMIVU ni Mengi huko kuliko baraka Labda niwe kivyangu tu!!!Kanisani hapana msikitini hapana ibada za kwenye haya majengo zinachosha Sana Akili na Moyo WANGU!!kukiri ni shakiri lakini Maisha Sasa Ndio KAZI!!!
Na ukishatimiza mission yako ni lazima uondoke maana huna tena cha ziada.Wala hata usijali, kila mtu ajapo duniani Huwa anayo MISSION ya kutimiza duniani. Hata ktk Kutoa maoni yapo mengi yanasaidia Nchi.
Unanitisha man!Na ukishatimiza mission yako ni lazima uondoke maana huna tena cha ziada.
Hapana kaka usitishike ni fomula ya kiroho iko hivyo [emoji41][emoji41][emoji41]Unanitisha man!
Usiogope WANADAMU, mwogope MUNGU ambaye anaweza kuua mwili na asiishie hapo Akamtupa JEHANUM Kwa mateso ya milele!!!!😠😠Unanitisha man!
Na siku zote mtu anaye ombewa kifo ndiyo udumu zaidi katika uhai kuliko anaye ombewa umilele.[emoji16][emoji23][emoji16][emoji23][emoji28]samia yupo hadi 2025.
Kwani uzalishaji wa mafuta kula hapa nchi huwa ni asilimia ngapi na mafuta ya kula kutoka nje huwa ni asilimia ngapi?.Kwamba mpaka mafuta ya Kula au vyakula vimepanda bei kutokana na Vita vya urusi na Ukraine
Umesema Magu alikopa kwa muda mfupi kwa maana deni kuiva baada ya miaka mi 5,sasa uoni kuwa hilo ongezeko 16 t limejuisha na madeni ya Magu yaliyoiva tayari?.Taarifa zipo wazi BOT ni kuzisoma tu na niliwahi kuweka hapa
Jiwe sio raisi aloyekopa kuliko wote.
Aliyekopa kuliko wote ni kikwete,
Jiwe alikopa nyingi kwa muda mfupi(miaka mitano) lakini sio kwamba alikopa nyingi kuliko kikwete
NB
Deni sasa hivi lipo trillion 87, ongezeko la trillion 16 ndani ya mwaka mmoja. Speed ipo vizuri
Nimeandika kiswahili lakini hujanielewa. Sijazungumzia deni kuiva, nimezungumzia kwa kipindi cha miaka mitano alikopa pesa nyingi, Ila sio kwamba alikopa kiliko wote.Umesema Magu alikopa kwa muda mfupi kwa maana deni kuiva baada ya miaka mi 5,sasa uoni kuwa hilo ongezeko 16 t limejuisha na madeni ya Magu yaliyoiva tayari?.
Sasa unapo ongelea 16 t,hakikisha unafanya hesabu vizuri kuliko kumsingizia mwanamke kukopa kiasi hicho cha 16 t ili hali hesabu hiyo huko hazina haipo hivyo.Nimeandika kiswahili lakini hujanielewa. Sijazungumzia deni kuiva, nimezungumzia kwa kipindi cha miaka mitano alikopa pesa nyingi, Ila sio kwamba alikopa kiliko wote.
Deni limekopwa miaka michache iliyopita linaivaje sasa?
Lakini hata Kama likija kuiva na tuseme riba ilikua kubwa sana tuseme asilimia 20 bado haiwezi kufikia hiyo trillion 16. Asilimia 20 ya trillion 29 alizokopa jiwe ni trillion 5.8
Mikopo ya benk binafsi uiva kwa kuzingatia makubaliano na si lazima iwe miaka 5.Laki pia usiri uliokuwepo ukichanganya na kutangaziwa kwa uongo kuwa nchi haikopi,inaleta mashaka kuamini utetezi wako.Nimeandika kiswahili lakini hujanielewa. Sijazungumzia deni kuiva, nimezungumzia kwa kipindi cha miaka mitano alikopa pesa nyingi, Ila sio kwamba alikopa kiliko wote.
Deni limekopwa miaka michache iliyopita linaivaje sasa?
Lakini hata Kama likija kuiva na tuseme riba ilikua kubwa sana tuseme asilimia 20 bado haiwezi kufikia hiyo trillion 16. Asilimia 20 ya trillion 29 alizokopa jiwe ni trillion 5.8
Nadhani kuna sehemu hatujaelewana.Sasa unapo ongelea 16 t,hakikisha unafanya hesabu vizuri kuliko kumsingizia mwanamke kukopa kiasi hicho cha 16 t ili hali hesabu hiyo huko hazina haipo hivyo.
Heeh serikali yenyewe juzi ndio imesema kuwa kwa Sasa wanachukua mikopo itayoiva kwa miaka 20 na kuacha mikopo ya miaka 6.Mikopo ya benk binafsi uiva kwa kuzingatia makubaliano na si lazima iwe miaka 5.Laki pia usiri uliokuwepo ukichanganya na kutangaziwa kwa uongo kuwa nchi haikopi,inaleta mashaka kuamini utetezi wako.
FDR alikuwa na akili hizi? Nyumbu hovyo kabisa.Huyu Tarzan wa kike alieigiza movie ya wanyama? Hebu tuweni na staha jamani hata kama tunataka kusifia.
Mleta mada hajataja Huyu ndie yupo ajaye!!FDR alikuwa na akili hizi? Nyumbu hovyo kabisa.View attachment 2205912
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hakuna aliyemuombea KIFO humu!!Na siku zote mtu anaye ombewa kifo ndiyo udumu zaidi katika uhai kuliko anaye ombewa umilele.[emoji16][emoji23][emoji16][emoji23][emoji28]
Sasa mnapo muhusisha Mpango kuanzia 2023 kuwa Rais mnaamanisha nini na wakati Rais yupo wa mpaka 2025?.Hakuna watoto humu mkuu.Hakuna aliyemuombea KIFO humu!!
mleta mada anaongelea miaka 12ijayo ya utawala tz!siyo KIFO cha mtu!!!soma tena!!
UshauriSasa mnapo muhusisha Mpango kuanzia 2023 kuwa Rais mnaamanisha nini na wakati Rais yupo wa mpaka 2025?.Hakuna watoto humu mkuu.
Na Sio Mpango kabisa!!mawazo YAKO tu hayo!!Sio Lazima uwaze KIFO!!kwani waliopoteza madaraka wote walikufa!!? NYERERE aliachia kwani aliuawawa ndio mwinyi akachukua!!? TUSUBIRI Tuone kama ni kweli tutajua kama ni uongo tutajua!! TUSUBIRI!!Sasa mnapo muhusisha Mpango kuanzia 2023 kuwa Rais mnaamanisha nini na wakati Rais yupo wa mpaka 2025?.Hakuna watoto humu mkuu.