Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Ni nani!!? Magamba matatu anasema ni Arabic by faith au ni B.A.K yule aliekuwa KATIBU mkuu kiongo

Mission YAKO pia naijua!NENO ZITO SANA HILO HADI NIMEOGOPA!MIMI NI MEMBER TU SINA MISSION YOYOTE LABDA DEVINE POWERS ZIAMUE NIWE MTU!!
Wala hata usijali, kila mtu ajapo duniani Huwa anayo MISSION ya kutimiza duniani. Hata ktk Kutoa maoni yapo mengi yanasaidia Nchi.
 
Kumbe shetani amemeza Baraka na utajiri wangu!!!!?Aiseh niache dhambi!!?nitaweza kweli!!!?Maana taasisi za kiroho si ziamini huwafanya watu Kuwa watumwa wa jumapili au mosi kwa mapato kulishanichosha Sana huko!! MAUMIVU ni Mengi huko kuliko baraka Labda niwe kivyangu tu!!!Kanisani hapana msikitini hapana ibada za kwenye haya majengo zinachosha Sana Akili na Moyo WANGU!!kukiri ni shakiri lakini Maisha Sasa Ndio KAZI!!!
Kukiri na kuamini siyo lazima uende majengoni, hii huitwa mahusiano binafsi wewe na huyo uliyemkiri atakuongoza mpaka kufika pale unapopataka. Lakini ukitaka kuongozwa na hajataka uongozwe bali usimame kwa miguu yako utapotezwa.
 
Wala hata usijali, kila mtu ajapo duniani Huwa anayo MISSION ya kutimiza duniani. Hata ktk Kutoa maoni yapo mengi yanasaidia Nchi.
Na ukishatimiza mission yako ni lazima uondoke maana huna tena cha ziada.
 
Kwamba mpaka mafuta ya Kula au vyakula vimepanda bei kutokana na Vita vya urusi na Ukraine
Kwani uzalishaji wa mafuta kula hapa nchi huwa ni asilimia ngapi na mafuta ya kula kutoka nje huwa ni asilimia ngapi?.
Kisha tuendelee tu kujiuliza.
 
Taarifa zipo wazi BOT ni kuzisoma tu na niliwahi kuweka hapa
Jiwe sio raisi aloyekopa kuliko wote.
Aliyekopa kuliko wote ni kikwete,
Jiwe alikopa nyingi kwa muda mfupi(miaka mitano) lakini sio kwamba alikopa nyingi kuliko kikwete
NB
Deni sasa hivi lipo trillion 87, ongezeko la trillion 16 ndani ya mwaka mmoja. Speed ipo vizuri
Umesema Magu alikopa kwa muda mfupi kwa maana deni kuiva baada ya miaka mi 5,sasa uoni kuwa hilo ongezeko 16 t limejuisha na madeni ya Magu yaliyoiva tayari?.
 
Umesema Magu alikopa kwa muda mfupi kwa maana deni kuiva baada ya miaka mi 5,sasa uoni kuwa hilo ongezeko 16 t limejuisha na madeni ya Magu yaliyoiva tayari?.
Nimeandika kiswahili lakini hujanielewa. Sijazungumzia deni kuiva, nimezungumzia kwa kipindi cha miaka mitano alikopa pesa nyingi, Ila sio kwamba alikopa kiliko wote.

Deni limekopwa miaka michache iliyopita linaivaje sasa?
Lakini hata Kama likija kuiva na tuseme riba ilikua kubwa sana tuseme asilimia 20 bado haiwezi kufikia hiyo trillion 16. Asilimia 20 ya trillion 29 alizokopa jiwe ni trillion 5.8
 
Nimeandika kiswahili lakini hujanielewa. Sijazungumzia deni kuiva, nimezungumzia kwa kipindi cha miaka mitano alikopa pesa nyingi, Ila sio kwamba alikopa kiliko wote.

Deni limekopwa miaka michache iliyopita linaivaje sasa?
Lakini hata Kama likija kuiva na tuseme riba ilikua kubwa sana tuseme asilimia 20 bado haiwezi kufikia hiyo trillion 16. Asilimia 20 ya trillion 29 alizokopa jiwe ni trillion 5.8
Sasa unapo ongelea 16 t,hakikisha unafanya hesabu vizuri kuliko kumsingizia mwanamke kukopa kiasi hicho cha 16 t ili hali hesabu hiyo huko hazina haipo hivyo.
 
Nimeandika kiswahili lakini hujanielewa. Sijazungumzia deni kuiva, nimezungumzia kwa kipindi cha miaka mitano alikopa pesa nyingi, Ila sio kwamba alikopa kiliko wote.

Deni limekopwa miaka michache iliyopita linaivaje sasa?
Lakini hata Kama likija kuiva na tuseme riba ilikua kubwa sana tuseme asilimia 20 bado haiwezi kufikia hiyo trillion 16. Asilimia 20 ya trillion 29 alizokopa jiwe ni trillion 5.8
Mikopo ya benk binafsi uiva kwa kuzingatia makubaliano na si lazima iwe miaka 5.Laki pia usiri uliokuwepo ukichanganya na kutangaziwa kwa uongo kuwa nchi haikopi,inaleta mashaka kuamini utetezi wako.
 
Sasa unapo ongelea 16 t,hakikisha unafanya hesabu vizuri kuliko kumsingizia mwanamke kukopa kiasi hicho cha 16 t ili hali hesabu hiyo huko hazina haipo hivyo.
Nadhani kuna sehemu hatujaelewana.
Mm nimesema ndani ya mwaka mmoja Deni limeongezeka kwa trillion 16, Sasa hapo nimemsingizia mwanamke gan? Report ya BOT ipo wazi, hiyo hapo angalia Deni ni kiasi gani sasa hivi
Screenshot_20220430-114550_1.jpg
 
Mikopo ya benk binafsi uiva kwa kuzingatia makubaliano na si lazima iwe miaka 5.Laki pia usiri uliokuwepo ukichanganya na kutangaziwa kwa uongo kuwa nchi haikopi,inaleta mashaka kuamini utetezi wako.
Heeh serikali yenyewe juzi ndio imesema kuwa kwa Sasa wanachukua mikopo itayoiva kwa miaka 20 na kuacha mikopo ya miaka 6.
Hayo ni maneno ya mwigulu na hata nape alisema hivyo bungeni kuwa tulikopa mikopo inayoiva ya miaka 6 badala ya mikopo ya muda mrefu
Kama hao nao wanasema uongo sasa hivi, basi sawa
 
Na siku zote mtu anaye ombewa kifo ndiyo udumu zaidi katika uhai kuliko anaye ombewa umilele.[emoji16][emoji23][emoji16][emoji23][emoji28]
Hakuna aliyemuombea KIFO humu!!
mleta mada anaongelea miaka 12ijayo ya utawala tz!siyo KIFO cha mtu!!!soma tena!!
 
Hakuna aliyemuombea KIFO humu!!
mleta mada anaongelea miaka 12ijayo ya utawala tz!siyo KIFO cha mtu!!!soma tena!!
Sasa mnapo muhusisha Mpango kuanzia 2023 kuwa Rais mnaamanisha nini na wakati Rais yupo wa mpaka 2025?.Hakuna watoto humu mkuu.
 
Sasa mnapo muhusisha Mpango kuanzia 2023 kuwa Rais mnaamanisha nini na wakati Rais yupo wa mpaka 2025?.Hakuna watoto humu mkuu.
Ushauri
Ukiona mada zimekuzidi uwezo usiwe unachangia. Jf ni kwa GT's only.
Kwa elimu uliyo nayo na hiyo kazi yako ya udereva mengi humu utaona kama unaonewa. Hii thread hipo coded, GT ataweza kung'amua.
 
Sasa mnapo muhusisha Mpango kuanzia 2023 kuwa Rais mnaamanisha nini na wakati Rais yupo wa mpaka 2025?.Hakuna watoto humu mkuu.
Na Sio Mpango kabisa!!mawazo YAKO tu hayo!!Sio Lazima uwaze KIFO!!kwani waliopoteza madaraka wote walikufa!!? NYERERE aliachia kwani aliuawawa ndio mwinyi akachukua!!? TUSUBIRI Tuone kama ni kweli tutajua kama ni uongo tutajua!! TUSUBIRI!!
 
Back
Top Bottom