Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
FDR alikuwa na Akili wewe... acha kabisa kuongelea mambo na watu usiowajua . FDR was very smart.
 
Mungu atupe uhai, Ila kwa safu waliyosuka CCM, sioni uwezekano wa mama kutolewa kabla ya 2021, maana any time anaweza kubadili Mkurungenzi wa TISS, CDF, na IGP akaweka anaotaka yeye, majanga
Kama ni kweli state inataka mtu wao aingie!!anaingia tu !Huwa hawashindwi hao jamaa!!Anaweza teua kumbe anaowateua Ndio sehemu ya mission!!!
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Yote haya CHANZO ni CORONA. Nani alimshauri mkt wa ufipa ACHANJE? Hatakalia kiti hicho. Miaka miwili tangu importation ya chanjo ya kwanza tunatikiswa tena! By the way furaha ni kuwa tutapata KATIBA mpya 2026 Na mzee Wetu WARIOBA ndo ataizindua.
 
Yote haya CHANZO ni CORONA. Nani alimshauri mkt wa ufipa ACHANJE? Hatakalia kiti hicho. Miaka miwili tangu importation ya chanjo ya kwanza tunatikiswa tena! By the way furaha ni kuwa tutapata KATIBA mpya 2026 Na mzee Wetu WARIOBA ndo ataizindua.
Na huyo FDR wetu yupo bungeni, Si mwanasiasa ila ni verrry vissssionarrrry. Anabadili upepo wa siasa atakavyo. Mbingu zimeamua awe. TUMIA AKILI anatumiwa na mwenye AKILI asiyechunguzika. Dunia yote huweka Watawala awatakao.
 
Aisee halafu strategy wanayotumia Sasa Ni Ile ya kuteua watoto wao waendelee pale wazee waliposhindwa.
Angalia majina ya WATENDAJI wa kata. Majina yanajirudia rudia tu.
Kamati zote za Kata zinaongozwa na wale wale wanaouza ardhi ya vijiji.
Jamaa alikuja akawavurugavuruga na mwisho wakamwita ana ukabila kwa kuleta figure mpya kwenye mfumo!
 
Na huyo FDR wetu yupo bungeni, Si mwanasiasa ila ni verrry vissssionarrrry. Anabadili upepo wa siasa atakavyo. Mbingu zimeamua awe. TUMIA AKILI anatumiwa na mwenye AKILI asiyechunguzika. Dunia yote huweka Watawala awatakao.
Ni nani!!? Magamba matatu anasema ni Arabic by faith au ni B.A.K yule aliekuwa KATIBU mkuu kiongozi!!?
 
Back
Top Bottom