Shiputiputi
Member
- Mar 15, 2021
- 56
- 55
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia akili, unamanisha huyu mwamba ambaye ni makamu anaweza tuvusha kweli, Mana simwamini nahisi ana philosophy za jiwe ivi
FDR alikuwa na Akili wewe... acha kabisa kuongelea mambo na watu usiowajua . FDR was very smart.Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Kuna anayesema hakuwa na akili?!FDR alikuwa na Akili wewe... acha kabisa kuongelea mambo na watu usiowajua . FDR was very smart.
Mungu atupe uhai, Ila kwa safu waliyosuka CCM, sioni uwezekano wa mama kutolewa kabla ya 2025, maana any time anaweza kubadili Mkurungenzi wa TISS, CDF, na IGP akaweka anaotaka yeye, majangaNgoja tuone mwisho
Kama ni kweli state inataka mtu wao aingie!!anaingia tu !Huwa hawashindwi hao jamaa!!Anaweza teua kumbe anaowateua Ndio sehemu ya mission!!!Mungu atupe uhai, Ila kwa safu waliyosuka CCM, sioni uwezekano wa mama kutolewa kabla ya 2021, maana any time anaweza kubadili Mkurungenzi wa TISS, CDF, na IGP akaweka anaotaka yeye, majanga
Mungu atupe uhai, Ila kwa safu waliyosuka CCM, sioni uwezekano wa mama kutolewa kabla ya 2021, maana any time anaweza kubadili Mkurungenzi wa TISS, CDF, na IGP akaweka anaotaka yeye, majanga
Kwanini?Kitendo cha kinana kuwa Mtendaji MKUU wa TCD sio cha kuchukulia poa!!kuna ishu inapikwa tusubiri!!!
Asije akawa anapokea maagizo kutoka the state Kumbuka ni mwanajeshi by professional!akawa ana apply maagizo yale ndani ya chama!!Kwanini?
By profession, not by professional.Asije akawa anapokea maagizo kutoka the state Kumbuka ni mwanajeshi by professional!akawa ana apply maagizo yale ndani ya chama!!
Yote haya CHANZO ni CORONA. Nani alimshauri mkt wa ufipa ACHANJE? Hatakalia kiti hicho. Miaka miwili tangu importation ya chanjo ya kwanza tunatikiswa tena! By the way furaha ni kuwa tutapata KATIBA mpya 2026 Na mzee Wetu WARIOBA ndo ataizindua.Wakuu
Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.
Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc
Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.
Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.
Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
Na huyo FDR wetu yupo bungeni, Si mwanasiasa ila ni verrry vissssionarrrry. Anabadili upepo wa siasa atakavyo. Mbingu zimeamua awe. TUMIA AKILI anatumiwa na mwenye AKILI asiyechunguzika. Dunia yote huweka Watawala awatakao.Yote haya CHANZO ni CORONA. Nani alimshauri mkt wa ufipa ACHANJE? Hatakalia kiti hicho. Miaka miwili tangu importation ya chanjo ya kwanza tunatikiswa tena! By the way furaha ni kuwa tutapata KATIBA mpya 2026 Na mzee Wetu WARIOBA ndo ataizindua.
MNF nini HII!!?nifafanulie hata pm!!
Jamaa alikuja akawavurugavuruga na mwisho wakamwita ana ukabila kwa kuleta figure mpya kwenye mfumo!Aisee halafu strategy wanayotumia Sasa Ni Ile ya kuteua watoto wao waendelee pale wazee waliposhindwa.
Angalia majina ya WATENDAJI wa kata. Majina yanajirudia rudia tu.
Kamati zote za Kata zinaongozwa na wale wale wanaouza ardhi ya vijiji.
Ndugai akikusikia hatokuelewa.Duh aisee Tumia akili hebu muacheni mama aiseee, Mwendazake amefanye nichukie viongozi wanaume ipo siku watatuuwa. Bora mama maisha yanaenda bila kiki za kipuuzi na kudhalilishana.
Ni nani!!? Magamba matatu anasema ni Arabic by faith au ni B.A.K yule aliekuwa KATIBU mkuu kiongozi!!?Na huyo FDR wetu yupo bungeni, Si mwanasiasa ila ni verrry vissssionarrrry. Anabadili upepo wa siasa atakavyo. Mbingu zimeamua awe. TUMIA AKILI anatumiwa na mwenye AKILI asiyechunguzika. Dunia yote huweka Watawala awatakao.
Na mabadiliko hayo corona inahusika. Bt Katiba mpya itapatikana 2026 Na WARIOBA ataizindua.Na mabadiliko ha