Fred Lowassa ampongeza Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuwa alimtendea haki Baba yake 2015. Amuomba akasimamie kanuni zisikanyagwe tena

Fred Lowassa ampongeza Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuwa alimtendea haki Baba yake 2015. Amuomba akasimamie kanuni zisikanyagwe tena

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mnavyofahamu kuwa msafara wa katibu mkuu wa CCM na sekretarieti yake Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ametua na kuingia katika Jiji la Arusha lililo chini ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara akitokea Mkoani Manyara.

Ambapo mtoto wa Hayati Mzee Edward lowassa Mheshimiwa Fred Lowassa amesema ya kuwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alimtendea haki Baba yake mwaka 2015 katika mchakato wa kura za maoni .pale alipotoka nje na kusema kuwa kanuni zimekanyagwa .

Amesema kuwa kwa kuwa ni katibu mkuu basi akasimamie kanuni zisikanyagwe Tena.

Naweka kalamu chini na kuishia hapa

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mnavyofahamu kuwa msafara wa katibu mkuu wa CCM na sekretarieti yake Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huko Arusha makonda yupo kaenda kufanya nn ss😅
 
Ni Kweli kabisa Nchimbi,

Wagombea Urais waruhusiwe kuchukua fomu,

Maana Katiba ya chama inaruhusu,

Rip Lowwassa, Rip Membe!!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mnavyofahamu kuwa msafara wa katibu mkuu wa CCM na sekretarieti yake Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ametua na kuingia katika Jiji la Arusha lililo chini ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara akitokea Mkoani Manyara.

Ambapo mtoto wa Hayati Mzee Edward lowassa Mheshimiwa Fred Lowassa amesema ya kuwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alimtendea haki Baba yake mwaka 2015 katika mchakato wa kura za maoni .pale alipotoka nje na kusema kuwa kanuni zimekanyagwa .

Amesema kuwa kwa kuwa ni katibu mkuu basi akasimamie kanuni zisikanyagwe Tena.

Naweka kalamu chini na kuishia hapa

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Utakula ban kama umeanza kutunga uongo
 
Back
Top Bottom