Fred Lowassa ampongeza Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuwa alimtendea haki Baba yake 2015. Amuomba akasimamie kanuni zisikanyagwe tena

Fred Lowassa ampongeza Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi kuwa alimtendea haki Baba yake 2015. Amuomba akasimamie kanuni zisikanyagwe tena

Acha ulanzi wako hapa wewe.tangia lini CCM ikamilikiwa na watu binafsi? Unafikiri CCM ni kama vyama dhaifu vya upinzani vilivyopo hapa nchini. CCM ni taasisi imara inayojiendesha kitaasisi na ni mali ya wana CCM.
CCM ina Wenyewe

Kabla ya ziara Dr Nchimbi alienda kuchukua Kibali kwa Mzee Mustafa Songambele 😄😄

JK: Usione vyaelea vyaundwa
 
We jamaa mpaka huwa natamani kukukuona how you look like aisee maana dah kwa kihehe tunasema mlopofu au mgaya luhala kwa lugha nzuri
Huyu pimbi ni mfupi kiasi,ana vigimbi miguuni na matege,kichwa kama kitunguu maji na kitambi cha maparachichi. Yaani ni kituko ndiyo maana hateuliwi anaachwa kuwa mshereheshaji humu kwa vile haonekani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mnavyofahamu kuwa msafara wa katibu mkuu wa CCM na sekretarieti yake Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ametua na kuingia katika Jiji la Arusha lililo chini ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara akitokea Mkoani Manyara.

Ambapo mtoto wa Hayati Mzee Edward lowassa Mheshimiwa Fred Lowassa amesema ya kuwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alimtendea haki Baba yake mwaka 2015 katika mchakato wa kura za maoni .pale alipotoka nje na kusema kuwa kanuni zimekanyagwa .

Amesema kuwa kwa kuwa ni katibu mkuu basi akasimamie kanuni zisikanyagwe Tena.

Naweka kalamu chini na kuishia hapa

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mungu amtangulie Ndg yetu
 
Back
Top Bottom