Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Tangia lini nikaleta habari za uongo hapa.Utakula ban kama umeanza kutunga uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangia lini nikaleta habari za uongo hapa.Utakula ban kama umeanza kutunga uongo
CCM ina WenyeweAcha ulanzi wako hapa wewe.tangia lini CCM ikamilikiwa na watu binafsi? Unafikiri CCM ni kama vyama dhaifu vya upinzani vilivyopo hapa nchini. CCM ni taasisi imara inayojiendesha kitaasisi na ni mali ya wana CCM.
na leo ni wanachamaNa wote walifukuzwa kwenye chama
Huyo hawezi kukuelewa hasa akiwa kajifukiza.Nchimbi hakufukuzwa alipewa Ubalozi Brazil 😄
Wana madudu yao lazima wajifiche ndani ya CCM vinginevyo watakutana na mkono wa dolana leo ni wanachama
Hata dingi ake Nape ni mmiliki wa CCM lakini Nape alienda kuomba msamaha kwa dikteta mchana kweupeBaba ya Nchimbi na Mzee Songambele ndio wamiliki wa CCM
Huwezi kuelewa wewe kipindi hicho ulikuwa unasoma chuo cha utumishi TaboraLini Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alifukuzwa CCM? Au umelewa?
Ili wauma pesa ambayo ilitolewa na mzee na mzee akaukosa uRaisWalikuwa na maslahi na EL, je watabaki na huo msimamo kwa mtu ambaye hawana maslahi naye?
Madudu gani weweWana madudu yao lazima wajifiche ndani ya CCM vinginevyo watakutana na mkono wa dola
CCM ni taasisi imara inayojiendesha kitaasisi.Mwambieni Fred Lowassa, Kikwete yupo na amejaa tele na ndiye mchuja majina 2030.
Majangili tupuMadudu gani wewe
We jamaa mpaka huwa natamani kukukuona how you look like aisee maana dah kwa kihehe tunasema mlopofu au mgaya luhala kwa lugha nzuriMama amefanikiwa kumfikia kila mtanzania.ndio maana watu wana amani na furaha sana mioyoni mwao.
Itakuwa umeamka na maulanzi yako ya mtuvila au Don Bosco au kisesa au makanyagio kule Mkwawa .hoja hujibiwa kwa hoja.We jamaa mpaka huwa natamani kukukuona how you look like aisee maana dah kwa kihehe tunasema mlopofu au mgaya luhala kwa lugha nzuri
Huyu amekuwa roporopo sana.Utakula ban kama umeanza kutunga uongo
Huyu pimbi ni mfupi kiasi,ana vigimbi miguuni na matege,kichwa kama kitunguu maji na kitambi cha maparachichi. Yaani ni kituko ndiyo maana hateuliwi anaachwa kuwa mshereheshaji humu kwa vile haonekani.We jamaa mpaka huwa natamani kukukuona how you look like aisee maana dah kwa kihehe tunasema mlopofu au mgaya luhala kwa lugha nzuri
Mungu amtangulie Ndg yetuNdugu zangu Watanzania,
Kama mnavyofahamu kuwa msafara wa katibu mkuu wa CCM na sekretarieti yake Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi ametua na kuingia katika Jiji la Arusha lililo chini ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara akitokea Mkoani Manyara.
Ambapo mtoto wa Hayati Mzee Edward lowassa Mheshimiwa Fred Lowassa amesema ya kuwa Mheshimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi alimtendea haki Baba yake mwaka 2015 katika mchakato wa kura za maoni .pale alipotoka nje na kusema kuwa kanuni zimekanyagwa .
Amesema kuwa kwa kuwa ni katibu mkuu basi akasimamie kanuni zisikanyagwe Tena.
Naweka kalamu chini na kuishia hapa
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kweli kabisaMungu amtangulie Ndg yetu