Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 442
- 1,655
Hapo tu, japo nami nililipa kinyonge kabisa 2.6m.Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!
Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ujinga mwingi sana.
Nimelipa Mil kadhaa kwa binti yangu asome ndo kamaliza nasubiri matokeo kaenda kuzalishwa k****e zake namdai ye na mamaake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjinga sana huyu mtoto, alifaulu second selection ualimu, kapangiwa kijijini huko kakataa ikabidi tutafute plan B.
Sijui kasema kariakoo hapo apige kozi hiyo secretary,
Lipa hela yote sio mkopo.
Kamaliza kapigwa mimba [emoji2297].
Mi ntadai hela yangu mpk naingia kaburini[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Its okay , i will take it, na binti kajipeleka huko kwa huyo bwege kamwambia sipo home usije,
Funguo ninazo bado niko kazini mpk kesho.
Hapo Nauli nitoe mimi ili aende na mwanae wakamsalimie babaake.
Watakusanyaje na watu hawana ajiraaa??? LolKwa hali hiyo sijui ni trilioni ngapi zinaozea huko mtaani kwa ajili yawatu kukosa ajira. Ila nadhan hata kama mtu anafanya kazi binafsi kama biashara Tin yake yaweza kujulisha then akawa anapunguza hata 40 elfu kwa mwaka.
Ndio maana mambo hayaendi kumbe hakuna mikakati ya kukusanya madeni ya umma.
Hao wa kiume kwa sasa ni hatari bora wa kike. Lolkila siku namuomba Mungu anijalie watoto wa kiume tu
Sio kwamba watoto wa kike siwapendi ila malezi yao wakifika kwenye balehe ni tabu tupu
Jaman jaman khaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Stupid ,vijana ni majobless na hawana biashara wala mitaji ,wanafanya kazi za kubeba zege halafu mnawaambia walipe mikopo ,mbwa kabisa ninyi ,hao wazee wenye matumbo makubwa kama mafurushi ya viazi wao walilipa mikopo gani ? Wote mbwa hao wamesoma kwa pesa za walipa kodi enzi za Nyerere na kazi walipewa bwerere na hawakurudisha hata senti moja hadi leo ,kmanina zenu
Hahaaa, babukijana kapata mjukuu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ujinga mwingi sana.
Nimelipa Mil kadhaa kwa binti yangu asome ndo kamaliza nasubiri matokeo kaenda kuzalishwa k****e zake namdai ye na mamaake
Mimi nadaiwa million 24.
Hivi hawapigi penalty?Mi nadaiwa milioni 11+ hii baada ya mama kuondoa zile tozo vinginevyo hadi kufikia mwaka huu ilikua inagonga M 18+ na sina mpango wa kulipa labda waniajiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah kumbe nimemzid tajir eeh,hamna mie nilichukua bachelor ya science ndio bei zao ziko juu ukichanganya hela za field, stationary,practical training lazima hela iwe ndefu,enzi za magu ilikuwa nadaiwa 21 M ,maza alipokuja akatoa tozo ndo nikashuka hadi 13m,ambayo nimemalizana nao January mwaka huu.Umemshinda hadi tajiri Fred[emoji16]
Nashangaa namshangaa wkt sis makapuku tulillipa Kwa pesa zetu.Kwa hadhi na uwezo wake; miaka yote hiyo alishindwa kulipa 7.3M!!? 🙄
Ndio nani huyu. Jazia nyama ili tuchangieMfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.
Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.
Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.
Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?
View attachment 2559799
Unazingua kweli, ungemuozesha mapema akaenda kusoma akiwa n mme wake. Wala usingefika kulalamika huku.Nakwambia nayeye mchaga vitoto vya migo hivi.
Ila huyo bwege atanipa changu tu mpk sasa najua alipo tu najuzi nimemtengenezea mazingira kajaa ntakutana nae nimpe bili yake tu,akishindwa ndo atanijua mi nani
Huyo nae aache ushamba,wangapi wamemaliza mkopo huo na hawajatangaza,pia ni aibu kubwa ya mtu kama huyo alie jiajiri na kuwaajiri vijana wa jinsia zote akae muda wote huo hadi mwaka huu ndo amalize mkopo huo.Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.
Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.
Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.
Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?
View attachment 2559799
Mie Ni 40+Me nadaiwa Mil.11+