TANZIA Fredrick Shoo (FRESHO) Mmiliki wa Kampuni Tanzu za FRESHO INVESTMENT LIMITED Afariki

Wewe tahira kila mahali unawaongelea mabaya wachaga. Walikula jich nini?
 
Duuh..walitisha aseee..[emoji28][emoji28]..naskikia mwenyekiti ngwani alikua akiingia makao makuu anatoka na gunia la pesa...kipindi hicho

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadi leo Shirecu imejaa wasukuma. Sasa hivi General Manager wake ni jamaa moja anaitwa Hans ni Mnyakyusa, ila staff wote ni full wasukuma. Ila hivi vyama vilikuwa Giant sana, hadi Nyerere unaambiwa aliviogopa.
Kabisa vilikua na ukwasi wa hali ya juu sana..kumbuka wakina P.Bomani walivyo kuwa na pesa kule NCU.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tuendelee kumwomba Mungu na TUOKOKE, hizi ni siku za mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…