Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii.
Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki itasambazwa kupitia redio hiyo
Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki itasambazwa kupitia redio hiyo