Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
tunasubiriSoon namuona Mbowe akiwa mahabusu kwa hasira ya Mama.....lazima apunguzwe kasi awe na adabu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunasubiriSoon namuona Mbowe akiwa mahabusu kwa hasira ya Mama.....lazima apunguzwe kasi awe na adabu...
Rudia kusoma tena, nimesema ukomo, sijasema kua sio huru wala haki. Mwenyekiti wetu atatawala mpaka lini? Katiba ya chama ni lazima iseme. Kile sio chama cha baba yake.Kwenye chama chetu chaguzi ziko huru na Haki.
Hata tunapokwenda kwenye katiba mpya na tume huru haimanishi mtu akishinda mfululizo ndio katiba inakataa.