Freeman Mbowe aalikwa rasmi Clouds FM katika kipindi cha Traffic Jam siku ya Ijumaa

Freeman Mbowe aalikwa rasmi Clouds FM katika kipindi cha Traffic Jam siku ya Ijumaa

Wakati Ule Sauti Inakatwa Unapokwa Kisemeo Chombo Kinafungiwa
Mawasiliano Yanadukuliwa πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜‚
 
Lkn nyie chadema na ww mleta mada si ndo juzi hapa mmemshukia mama na kumuita dikteta kama jiwe anayima uhuru wa watu na kumuita yy na jiwe hakuna tofauti?

Leo tena mnamsifia na kumnanga jiwe? Hivi mnaelewrka kweli chadema?
 
Kwako Wewe Uhuru wa vyombo vya habari ni kualikwa DJ Mbowe studio?

Uhuru wa vyombo vya habari nini?
 
Kiimani shetani ana nguvu sana. Ana uwezo wa kumwingia binadamu ambaye aliumbwa binadamu kabisa, na huyo mtu akageuzwa kuwa shetani, hivyo anakuwa shetani katika umbile la mwanadamu. Akifanya hivyo ana uwezo wa kuwaangusha wanadamu wengi na kuwafikisha jehanamu maana wengi wataendelea kumwamini na kumwona ni mwanadamu mwenzao, na kuna wakati atawatendea mema, na wengi watayaangalia yale mema machache ili kuwapofusha.

Shetani siyo dubwasha la ajabu, shetani ili kukufikia huchukua umbile lile litakalokuvuta ili uangamie.
Vipi wale waliojiita Kamati ya amani ambao walikuwa wakimuwekea mikono kumuombea walishindwa kumtoa shetani aliyepo ndani yake?
 
Vipi wale waliojiita Kamati ya amani ambao walikuwa wakimuwekea mikono kumuombea walishindwa kumtoa shetani aliyepo ndani yake?
Kamati ya amani inaundwa na wanasiasa wanaotumia dini kulinda maslahi ya Serikali bila ya kujali kama Serikali inafanya uovu au mema.

Kumwondoa shetani, ni lazima uwe na nguvu thabiti za kiimani na kiroho, ambazo mtu mnafiki hawezi kuwa nazo.

Kamati ya amani imejengwa kwa misingi ya unafiki, na wajumbe wake ni watu wanafiki. Umewahi kuisikia kamati ya amani ikiikemea Serikali kwa uovu wowote ule?
 
Lakini Clouds hawa hawa wakimwalika SABAYA inakuwa wanamsafisha? Mimi nadhani Mbowe angewagomea. Akafanye kipindi na TV AMBAYO NI NEUTRAL hii imekuwa ikionekana inaipendelea au kujipendekeza CCM. Kwa maelezo mengi toka kwa wadau wa CDM.
 
Kiimani shetani ana nguvu sana. Ana uwezo wa kumwingia binadamu ambaye aliumbwa binadamu kabisa, na huyo mtu akageuzwa kuwa shetani, hivyo anakuwa shetani katika umbile la mwanadamu.

Akifanya hivyo ana uwezo wa kuwaangusha wanadamu wengi na kuwafikisha jehanamu maana wengi wataendelea kumwamini na kumwona ni mwanadamu mwenzao, na kuna wakati atawatendea mema, na wengi watayaangalia yale mema machache ili kuwapofusha.

Shetani siyo dubwasha la ajabu, shetani ili kukufikia huchukua umbile lile litakalokuvuta ili uangamie.
Wewe Jamaa huwaga una busara Sana.
 
Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii.

Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki itasambazwa kupitia redio hiyo

View attachment 1844397
Huyu mwamba ndio maana ni Tajiri. Hapoi haani
 
Kiimani shetani ana nguvu sana. Ana uwezo wa kumwingia binadamu ambaye aliumbwa binadamu kabisa, na huyo mtu akageuzwa kuwa shetani, hivyo anakuwa shetani katika umbile la mwanadamu.

Akifanya hivyo ana uwezo wa kuwaangusha wanadamu wengi na kuwafikisha jehanamu maana wengi wataendelea kumwamini na kumwona ni mwanadamu mwenzao, na kuna wakati atawatendea mema, na wengi watayaangalia yale mema machache ili kuwapofusha.

Shetani siyo dubwasha la ajabu, shetani ili kukufikia huchukua umbile lile litakalokuvuta ili uangamie.
Shetani ni mshawishi mkuu. Anakutazamisha mazuri Kwa lengo la kukutoa kwenye njia. Hashawishi Kwa kutumia mabaya Bali mazuri yapendezayo macho na ufahamu wa mwanadamu!!
 
Wakimuhoji msiyopenda mtaishia kuwatukana kama alivyohojiwa sugu
 
Back
Top Bottom