Shetani kamwe hawezi kushinda Nuru. Hatimaye tumerudi kwenye peak yetu. Hata media zimejifunza sasa.Wakati ule nchi ilikuwa mikononi mwa shetani, sasa tunaweza kuidai maana nchi imerudi kwa chama kizee cha ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani kamwe hawezi kushinda Nuru. Hatimaye tumerudi kwenye peak yetu. Hata media zimejifunza sasa.Wakati ule nchi ilikuwa mikononi mwa shetani, sasa tunaweza kuidai maana nchi imerudi kwa chama kizee cha ccm.
kweliMkuu taarifa yako ni nzuri ila hukuweka muda wa hicho kipindi ili watu wajue. Si kila mtu anajua hicho kipindi ni saa ngapi.
Kwenye chama chetu chaguzi ziko huru na Haki.Tubadili katiba ya chama chetu, mwenyekiti awe na ukomo wa kutawala. Haiwezekan mwenyekiti anaongoza chama kwa miaka 20 na kidogo. Haiwezekan makamu mwenyekiti anaongoza chama kupitia mtandao wa Twitter na wasap call akati makamanda tupo hapa hapa nchini. Hawa watu wasitufanye ndondocha.
ungeweka bando kidogo ungesikia sauti zao pale na ungejua ni kituo ganiHivi hicho kipini kipo clouds au east africa radio?mbona unatuchanganyia mafaili?
Ni kweli na imani itaongezeka.Hii itadhidi kumuongezea credit Samia, Safi sana
Freeman Mbowe aka Mwamba aka Kamanda wa anga. Huyu, Lissu, Heche, Msigwa bila kumsahau Malisa,Tutamfuatilia Mwamba popote atakapokuwepo kasoro TBC
Hahaha dahhhh... Bashite muda huu angekuwa anarandaranda kwenye corridors za Clouds na battalion kamili yenye kila aina ya silaha defender kadhaa na magari ya deraya yakisubiri nje! Mungu hakika jina lako ni kuu; nguvu zako hazina mfano; mbingu na dunia zainama kulisujudia jina lako BWANA.
Hakua na lolote zaidi ya roho mbaya na ubinafsiMkuu, kuna wataalam wanasema yule alikuwa ni shetani mwenye maumbile ya mtu.
Usishangae siku moja kusikia pesa ilikuwa ikiingiaNimefurahi sana cdm kutokupokea ruzuku, maana sasa zile propaganda mfu za chama kizee, kinachotegemea ruzuku mpaka leo wangesema anakula ruzuku.
uongo ni dhambiUsishangae siku moja kusikia pesa ilikuwa ikiingia
Usishangae siku moja kusikia pesa ilikuwa ikiingia
... kwa siasa za Tanzania kwa sasa those are the blessed ones! Sauti zao ni level ya unabii; unamsikiliza mtu unaona kabisa anayoongea hayaongei kwa nafsi yake tu bali there is power behind the message!Freeman Mbowe aka Mwamba aka Kamanda wa anga. Huyu, Lissu, Heche, Msigwa bila kumsahau Malisa,
Napenda sana kusikiliza interview zao, wanatema madini ya uhakika
Exactly! Bila kumsahau Kamanda Lema... kwa siasa za Tanzania kwa sasa those are the blessed ones! Sauti zao ni level ya unabii; unamsikiliza mtu unaona kabisa anayoongea hayaongei kwa nafsi yake tu bali there is power behind the message!
Mwamba hajawahi kutuangushaSafi sana kamanda Mbowe. I hope Watanzania wengi watapata Elimu kuhusu muhimu wa katiba mpya kupitia kipindi cha traffic Jam
Halima Mdee jeExactly! Bila kumsahau Kamanda Lema
🤣🤣Wangechukua mngeshasema maana kitendo cha kuigomea hiyo ruzuku, kimewaudhi sana Chama cha majizi ya kura.
MsalitiHalima Mdee je
It’s true. Siku nikiwa off most of the Time napitia YouTube kucheki interview zao. Wako makini sana. Yaani mtu kama Lissu ukimsikiliza lazima upate kitu kipya cha kulisha ubongo wako.... kwa siasa za Tanzania kwa sasa those are the blessed ones! Sauti zao ni level ya unabii; unamsikiliza mtu unaona kabisa anayoongea hayaongei kwa nafsi yake tu bali there is power behind the message!
Soon namuona Mbowe akiwa mahabusu kwa hasira ya Mama.....lazima apunguzwe kasi awe na adabu...Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii.
Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki itasambazwa kupitia redio hiyo
View attachment 1844397