Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakumbukwa kwa mabaya yako na siyo mazuri yakoNi wazo jema. Ila watu wengi wamesongwa mno na maumivu waliyoyapata kutoka kwa mwendazake. Ni vigumu kwa binadamu wa kawaida kusahau. Shakespear alisema: "Mema aliyotenda mtu huzikwa nayo mifupani mwake ila mabaya hubaki bila kusahaulika".
Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii.
Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki itasambazwa kupitia redio hiyo
View attachment 1844397
Tutamfuatilia Mwamba popote atakapokuwepo kasoro TBCHivi vyadema mnasikiliza na kuangalia clouds media?
Mtangazaji aliyemhoji Sugu ndiye aliyejutaWakimuhoji msiyopenda mtaishia kuwatukana kama alivyohojiwa sugu
Enzi za Mwendawazimu alikua anaua watu na MaCCM yanashangilia na yanamwita SHUJAA.Enzi za mwendazake soon tungeona mabango ya FAKE NEWS
Asante Mkuu.Wewe Jamaa huwaga una busara Sana.
Hivi hicho kipini kipo clouds au east africa radio?mbona unatuchanganyia mafaili?Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii.
Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki itasambazwa kupitia redio hiyo
View attachment 1844397
Jahazi kimefutwa..kuna kipindi kipya Ndo hicho Traffik Jam cha kina Gadna na ndo hapo Mbowe ataunguruma ijumaa.Hivi hicho kipini kipo clouds au east africa radio?mbona unatuchanganyia mafaili?
Timu ya wataalam inaendelea kuchunguza , utapewa taarifa
Nimefurahi sana cdm kutokupokea ruzuku, maana sasa zile propaganda mfu za chama kizee, kinachotegemea ruzuku mpaka leo wangesema anakula ruzuku.Acha aitafune chadema atakavyo
Kwa nn iwe sasa na sio 2015-2021(17/3)?
Sasa tanzania furaha inarejea. Hakuna media haijajifunza kupitia lile zumugulu jiwe.Lile Jitu kufa ni shukrani tosha kwa Mungu wangu