Baltazar Engongo
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 604
- 932
Sijazungumzia ruzuku, nazungumzia pesa ambazo kila siku lissu anasema viongozi wamechukua kutoka ccm. Akasema pia kiongozi wao mkubwa alienda na wanaccm nyumbani kwake wakiwa na mabegi ya pesa wanataka kumuhonga afunge mdomohii nchi wajinga ni wengi , bado Kuna watu mpo kwenye hatua ya zinjanthropus , ruzuku sio pesa za ccmu
Nchi imefika pabaya sana ni jukumu la wanainchi kuchukua hatua.Nchi imefika Patamu sana!
Hata wewe ukifanyiwa fujo mlalamikaji anakua jamuhuri na siyo wewe, we unakua ni shahidi tuKama ameingilia mkutano wa ACT kwanini mlalamikaji asiwe ACT?
Kwamba unifanyie fujo halafu sijakupeleka mahakamani jamuhuri irukie tu hiyo fujo?Hata wewe ukifanyiwa fujo mlalamikaji anakua jamuhuri na siyo wewe, we unakua ni shahidi tu
Ndio siasa wanazoweza kufanya fujo na kukamatwa ushaawishi umewashindaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi
Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.
Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.
Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo
View attachment 3158721
Hawataamini macho yaoNchi imefika pabaya sana ni jukumu la wanainchi kuchukua hatua.
Ccm ni janga la taifa. Katika wale maadui watatu aliowataja Nyerere inabidi wanne iongezeke hiki chama chakavu cha mafisadi kuwa janga la nne kwa taifa hili.Ndio siasa wanazoweza kufanya fujo na kukamatwa ushaawishi umewashinda
Magufuli inaonekana alikuwa anakufaidi sana wewe chokoLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli inatafuna
ACT, ndio mlalamikaji au serikali au ccm au wananchiHawajatoweka nae pasipojulikana jumatatu mtamkuta mahakamani kwa kosa la kuingilia mkutano wa ACT mlalamikaji ni jamuhuri mashahidi ni waliomkamata
Vipi mtaalamu, hamuwezi kuwaroga??Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.π₯Ίπ₯Ίπ₯Ί
Wale makomando walikuwa wapi?
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi
Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.
Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.
Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo
View attachment 3158721
Ashughulikiwe tuu hakuna namna ππ
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mheshimiwa Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi katika mapori ya HALUNGU akiwa njiani anaelekea Mbozi baada ya kutoka Mlowo ambapo mkutano wale ulizuiwa na Jeshi la Polisi kwa Kutawanya Watu kwa mabomu ya machozi
Magari yameharibiwa kwa kuvunjwa Vioo,Watu waliokuwa katika msafara wa Mbowe wamepigwa vibaya mno,wamepoteza simu na fedha.
Polisi wamempakia Mheshimiwa Mbowe katika Defender na Kutoweka naye pasipo Julikana.
Viongozi wengine waandamizi wamekamatwa na Kupakiwa katika gari tofauti na ile iliyombeba Mheshimiwa Freeman Mbowe.
Pia soma
- LGE2024 - Polisi watawanya Mkutano wa Mbowe kwa Mabomu. Kosa kaingilia ratiba ya ACT-Wazalendo
View attachment 3158721
Kila ubaya utalipwa tuAshughulikiwe tuu hakuna namna ππ
Nadhani Tuishie Hapa Yamepangwa Hayo Kuhadaa Wanyonge,,Nyuma ya Pazia Wanagonga Mivinyo Kufurahia Kodi Za Wanyonge.Hayo ni maigizo na geresha tu, a false flag events in order to deceive the public.