Tawaambia nini watu? Mwenzake Yeriko angakau jana alijiwah kwenda kujibembeleza kwa lissu wakat wa lunch akae karribu kujichekesha chekesha mzee wa fursa ku copy na ku paste. Bon yai akajifanya mbishi..ona sasaSafi sana twende na Lissu!
View attachment 3209690
Watu wanakusanywa na kulipiwa posho halafu watu wanajiteua kugombea urais kinyume na katiba unafikiri kuna akili hapo?Haya mambo huwezi kuyaona CCM
Watakuwaje na akili wakati wao kila jambo ni kusifiaWatu wanakusanywa na kulipiwa posho halafu watu wanajiteua kugombea urais kinyume na katiba unafikiri kuna akili hapo?