Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Abduli katapeliwa na Wenje...
mbogamboga wamepigwa chenga za mwiliKawaingiza choo cha watoto mbogamboga Kala pesa zao
Sijaelewa bado, Chadema ni chama cha Wachaga au tubadili topic?
Yaani huyu jamaa nimemheshimu sana, hakuangalia ukabila.
Leo itakuwa ni machozi ya huzuni πLucas Mwashambwa anabubujikwa machozi ya furaha kama kamwagiwa pilipili ππππ
Na yule Mwosha Mbwa?