johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Rushwa gani?Nimesoma kichwa cha habari tu,unataka Mbowe ajitajirishe kwa rushwa?
Unamjua " vizuri " mzee Mtei lakini?Ngoja aimailishe kwanza kampuni yake ya chadema ltd, kwa sasa imeyumba kidogo ajitahdi japo kuisajiri kwenye soko la hisa.
Hakuna muwekezaji atapata kibari bila kutoa rushwa,huyu mtu sio kabisa,kama mko nae Moshi amekutuma kupima upepo anajidanganya.Rushwa gani?
Si baba yake?Unamjua " vizuri " mzee Mtei lakini?
Mbowe ni mnyasa kama ulikuwa haujui ndio ujue!Si baba yake?
Ahaa, hii inaitwa bao la mkonoMbowe ni mnyasa kama ulikuwa haujui ndio ujue!
Historia ya Freeman na Le mutuz hazitofautiani sana!Ahaa,hii inaitwa bao la mkono
Mpaka Mbowe atakapohamia upande wa pili ndio litawaka, akiendelea na ukamanda atabaki kuwa gunzi tuMbona Silinde tumechanganya na tochi inawaka!
Ahaaa, kwamba wote ni wapigaji au? Ahaaa mabaharia🏋️Historia ya Freeman na Le mutuz hazitofautiani sana!
Hahahaaaa..... Wana mizizi mirefu isiyoonekana kwa urahisi!Ahaaa, kwamba wote ni wapigaji au? Ahaaa mabaharia🏋️
Unaweza kukuta wewe ndio gunzi bwashee!Dah! Uyu jamaa amekomaa mbowe apewe shavu. Hii ni nyuzi kama ya3 iv.
Kwanini ukomae mzee achanganye gunzi wakati betri zipo
jibu sahihi kwa wakati sahihiMagufuli alisema asichanyiwe, apelekewe mbunge na diwani wa CCM. Kuchanganya baraza la mawaziri si ilani ya CCM.
Kaka hatusemi gunzi kutoka hewani.Unaweza kukuta wewe ndio gunzi bwashee!
Silinde kaja lini hapo Lumumba?...... Sasa wewe na yeye nani ni gunzi?
Wewe phalar mbona unapenda sana kuchekacheka kama malaya?Kabisa mkuu,
Hata mimi nashauri hivyo.
[emoji23][emoji23]
Mbowe siyo gunzi kama alivyo Mbatia, Zitto Kabwe na maalim Seif.Kaka hatusemi gunzi kutoka hewani.
Mkuu wa kaya wakati wa uchaguzi alitufundisha kuwa asichanganyiwe gunzi
Tunafuata kauli za m/kiti wetu
Kabisa mkuu,
Hata mimi nashauri hivyo.
[emoji23][emoji23]
Hahahaaaa........ Mbowe ni CCM tunamrejesha nyumbani!Leo ghafla maCCM yanasema Mbowe anafaa kua Waziri wa Viwanda kwenye serikali hiyo hiyo ya maCCM!
Duh
Kweli hii dunia ina wanafiki
Mbowe akija na Chadema tunamtoa aje awe CCM huko
Maccm zijui yanawashwa na guilt ya kuiba kura na kuua watu?
Nashindwa kuwaelewa kabisa!
Nini kinawauma hivi aiseee?Majambazi na mauaji hayanaga amani
Kakojoe ulale hata kama ni mchana.Itoshe tu kusema nafasi ya waziri wa viwanda na biashara ingemfaa sana mh Freeman Mbowe.
Sisemi kwamba aliyopo hafai bali ninachosema Mbowe ana kila sifa ya kuweza kushika nafasi hiyo katika dunia ya sasa yenye ushindani wa " kuviziana"
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!