"Magunzi na betri radio haisemi na wala tochi haiwaki"Itoshe tu kusema nafasi ya waziri wa viwanda na biashara ingemfaa sana mh Freeman Mbowe.
Sisemi kwamba aliyopo hafai bali ninachosema Mbowe ana kila sifa ya kuweza kushika nafasi hiyo katika dunia ya sasa yenye ushindani wa " kuviziana"
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!