Freeman Mbowe anatosha kuwa Waziri wa viwanda na biashara, ni mtu wa mikakati anayejua mahitaji ya soko kwa wakati!

"Magunzi na betri radio haisemi na wala tochi haiwaki"
 
Nakuelewa sana mkuu kwamba mmepewa vipeperushi kwa ajili ya kupigia upatu jambo hili kumtamanisha Mh mbowe akubali ili azma yenu ya kuua upinzani wa kweli nchi muwe mmelimaliza
 
Who cares?

Arudi tuchague Chairman wetu mwingine...

Sisi ni chama cha upinzani kama taasisi,Mbowe akitoka au akifa tunaweka wengine

Who cares?
Mngeshaweka zamani.

Akitoka Mbowe anaingia CCM mwingine Halima Mdee au mchungaji Msigwa.

CCM ni chama kikubwa meku!
 
Nakuelewa sana mkuu kwamba mmepewa vipeperushi kwa ajili ya kupigia upatu jambo hili kumtamanisha Mh mbowe akubali ili azma yenu ya kuua upinzani wa kweli nchi muwe mmelimaliza
Upinzani gani uliobaki bwashee?

Huu wa akina Esther Bulaya bungeni!!
 
Hii nafasi ningepewa Mimi ningeweza sana hata jimboni kwangu wanasema hivo!
 
Unamjua " vizuri " mzee Mtei lakini?
Hapa unamzungumzia mtei au mbowe? ndio namjua ni baba mkwe wa mbowe, aliwahi kuwa gavana, muasisi wa chadema na ndiyo aliemkabidhi mkwe wake mbowe chadema, kuna zaidi ya hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…