Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Sasa uwezo wa JK kisiasa unaweza ukamlinganisha na Yesu wa Lumumba? [emoji3]Huyu aligaragazwa na JK 2005 ndio atamuweza JPM kweli?!
Tupunguze utani wajameni!
Mwenyekiti wa kamati ya ushindi ya Kikwete alikuwa Lowassa ambaye aligaragazwa na JPM.Basi jibu swali la msingi!
Bora Mimi mkuu,sio huyo DJ wa club billcannaz,hafai hata kwa bure
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mbowe kajitosa geresha ili ionekane hata yeye anaweza kupigwa chini. Baada ya kutia aibu kwenye Uenyekiti. Mgombea wao tayari wanae.Huyu aligaragazwa na JK 2005 ndio atamuweza JPM kweli?!
Tupunguze utani wajameni!
🤣🤣🤣🤣🤣 We una utani wa ngumiChifu Mbowe, hadi akiwa kaburini mzimu wake utagombea
Sasa hii ni demokrasia au Maigizo ya demokrasia?Una akili sana.Mbowe hana mpango wa uraisi bali lengo ni kuongeza hamasa na pia kuonyesha demokrasia ndani ya CHADEMA ilivyo na hasa pale atapokosa hiyo nafasi yeye kama mwenyekiti na huo utakuwa ni uthibitisha kuwa yeye si dikteta kama inavyosemwa na ma-CCM na ndio maana kakosa licha ya yeye kuwa mwenyekiti.
CHADEMA ina watu very strategic katika kufanya siasa.
Anazuia kichaa kugombea na kukitia aibu chama.Anataka kumbania lisu tu
Kichaa Lisu au [emoji23][emoji1787]Anazuia kichaa kugombea na kukitia aibu chama.
Maigizo ni yale ya kununua mamaluki wa kisiasa na kisha kusema CCM inakubalika.Sasa hii ni demokrasia au Maigizo ya demokrasia?
Nini DJ, kuna nchi tena ya ulaya, comedian alishika kiti cha urais. Nadhani bado ni rais hata sasaAfrica tutakuwa watu wa ajabu sana,ni nchi moja tu barani Africa inayoongozwa na DJ, nayo ni Madagascar chini ya andry Rajoelina sasa naona DJ mbowe anataka atembelee nyota ya DJ mwenzake wa Madagascar.
Anajidanganya,Tanzania bado sana hatujafikia kiwango cha kuongozwa na DJ ,yeye akafufue tu club billcannaz yake,huko atapiga mpunga mrefu sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kuna rais ana PhD ya kugushi. Ben Saanane alipigia kelele hiyo, badala ya kujibiwa hija yake, akapotezwa. Hakafu rais huyo eti ni mpambanaji wa wanaogushi vyeti! Ila Makonda kamsamehe! Hiyo ndio TanzaniaNajua katiba ya JMT inasema rais lazima awe na degree angalau moja. Sasa Mh. Mbowe kasoma lini kupata hiyo sifa?
Sifa anayo ndio maana aligombea 2005 labda kama katiba ilifanyiwa marekebisho hayo baada ya mwaka huoNajua katiba ya JMT inasema rais lazima awe na degree angalau moja. Sasa Mh. Mbowe kasoma lini kupata hiyo sifa?