Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Lengo ni kupotezea hoja ya makato kwenye miamala, ukute ni wazo la madelu hili maana alikuwa amekaliwa kooni kwa kauli zake za kutaka watu waamie burundi

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 


Binadamu maisha hasomi makosa ya wenzake. Hawa CCM wanavyofanya waelewe mpira ukigeuka wanaweza kuja kufanyiwa wao haya ,

TIME WILL TELL
 
Uchaguzi upi ulimchagua magufuli? Mwananchi yupi? Kura zipi? Tume upi? Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani tu
Uchaa ujinga wewe bwna, tunataka evidence sio maneno tuu hayo, minyoo Hadi kichwan duuh
 
Mungu hana mtumishi mwendawazimu, Mungu kaagiza mzitii mamlaka zilizopo maana hakuna mamlaka isotoka kwake, nani mtumishi wa Mungu kati yangu mie nilolishika na kulifuata agizo lake na msu.kule ka wewe usoelewa hata nini unafanya?..[emoji57]
Hahhaahhahaahahaha.

Mtumishi mwendawazimu sio?
 

Kumbe ule uchafuzi wa 2020 ungali unaita uchaguzi ??
 
samia afanye udikteta tu lakini mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili zikiamua kutotoa mikopo na misaada kutokana na nchi kukosa demokrasi hapo ndiyo Watanzania watatia akili kichwani kwani ugumu wa maisha utaongezeka mara tatu ya ilivyo sasa na Serikali itakuwa haina jinsi bali kupitisha fagio la chuma Serikalini litakalosomba Wafanyakazi wengi sana.

Zile kauli mama kaupiga mwingi zipo wapi? Tuna deal na magaidi sisi pumbavu
 
aisee Kumbe Mbowe na kundi lake walikuwa watu hatari kiasi hiki!!!
yaani ni zaidi ya Majambazi, yaaani wanapanga njama za kuuuwa watu! duh! aisee hawa watu hawafai kabisaaa!! sio binaadamu.
 
Ipo siku isiyojulikana. Muda wenu utafika tu na mtakiri kwa vinywa vyenu. Kwa sasa endeleeni kushupaza shingo tu!
 
Kuna mzee mmoja nimekutana naye.. yaani ni CCM damu.

Huwa anafurahi sana viongozi au wafuasi wa Chadema wakikamatwa au kufungwa.. Kiufupi hapendi mfumo wa vyama vingi..
Ila leo mwenyewe kasema Polisi wamezidisha chumvi...
Tuliache jeshi letu la polisi lifanye kazi yake. Kuhusu ukweli na uongo utajulikana mbele ya safari
 
aisee Kumbe Mbowe na kundi lake walikuwa watu hatari kiasi hiki!!!
yaani ni zaidi ya Majambazi, yaaani wanapanga njama za kuuuwa watu! duh! aisee hawa watu hawafai kabisaaa!! sio binaadamu.
 
Wewe akili yako sio fupi tu. Imekaa mahali isipostahili kukaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…