Chama cha Magaidi (CCM)Chama cha magaidi, kimekongoroka. Mwiteni yule Mbeligiji aje kuwasaidia.
Nyumbu wana matatizo Sana.Yaami mashitaka ya kubumba ndo yaumize watu vichwa?
Watu wanaidharau tu hii serikali ya wasiojiamini
Jikite kwenye mada kuu.Umechanja we jamaa au unabugia zile za madagascar?
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Acha kujifyatua akili.Kama ni hivyo mbona babako IGP anahaha ...tukutane alhamis kisutu.
Mbelgiji alishaharibu zaidi.Chama cha magaidi, kimekongoroka. Mwiteni yule Mbeligiji aje kuwasaidia.
Kumbe Kuna PC zake tunazoLisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
ProofDG wa TISS anahusika vipi na kukamatwa kwa Mbowe na polisi? TISS imehusika wapi kwenye lile tukio, nani alikuwa hajui kama Mbowe yuko ukumbini mpaka watumie wanausalama kujua. Hii ni issue ya polisi na wao wameagizwa
Da njoo dm mkuu inatakiwa ujengewe sanamu jamaa karb na Diwan alikuwa na cheo gan na kwa nn hajauliwaKuna jamaa wa pale jikoni kabisa waliwekewa mitego wakanasa na wameshatimuliwa kazi mmoja wapo alikuwa msaidizi wa karibu kabisa wa asumani. (Hawa ndio walikuwa wanampa na yule jamaa kule twiter za jikoni jikoni ndio maana saa hivi unaona habari mpya zimepungua).
Naomba niisbie hapo
Ile Ile ya machoko. Namuona mwenezi amesadifu kabisa uhalisia wenuJuzi tu mlimsifia mama! Acheni chokochoko, ccm ni ile ile
Int pple hawali rushwa???TIS must select intelligent people, not just CCM-bound people with low intelligence.
Unapaswa kutunukiwa degree ya ufalsafa. Umenena Mkuu.Siasa usipokuwa makini maneno yako mwenyewe yanaweza kukuzika mwenyewe.Mngeacha tu mambo ya serikali yajiendeshe yenyewe maana na hata kuwekana wanawekana wenyewe.Utachagua lakini walioikalia serikali watamweka wanaemtaka yeye.Sasa wewe digdig unaacha kukazana na kuitawala familia yako kiuchumi ilmradi nawe uwepo wako home uonekane...umekazana mama samia mama samia.Mnajiumiza bure tu.
Ww akl zp matakn ushaambiw kn wt wndani wlkw wnahusika na wmfkzw Kaz huelwUle ulinzi wote ilikuwaje mtu kama Mbowe ahusike na kifo kirahisi hivyo? Wallah ukiwa ccm tu akili unakuwa umemwachia mtu wewe unabaki na fuvu tupu.