Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

Uzuri mpaka uchagani walishawastukia uongo wenu, kauli yake haina tofauti na kauli ya mlevi kutishia nitakufumua huku mwenyewe hata kusimama hawezi. Taasisi anayoishutumu ni kubwa kuliko mtu na haitalegeza msimamo wa kulinda amani.

Swala la Upinzani haliko uchagani hii ni Tanzania nzima wewe.
 
Mbowe ametangaza vita na Magufuli
Baada ya jamaa kujua Mbowe ataongea leo na wao wakaweka maigizo yao ati Mh anaenda Morogoro lakini kila mahali ana simama kusikiliza kero. Kwa fikra kwamba watu wataacha kumsikiliza Mbowe wahamie kwake. Kumbe watu wana hamu na hotuba ya Mwamba na sio yeye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala la upinzani haliko uchagani hii ni tanzania nzima ww utopolo
Ewe mbuyuyu, uchagani kuna viumbe mnadhani mna haki miliki ya urais, mnadhani mna haki miliki ya nyazifa za juu serikalini, na kwa sababu mianya ya rushwa mmezibiwa na ninyi mlizoea kuiba na ni wezi ndiyo maana mnapata tabu sana na chuki zenu binafsi.
 
Mawazo ya kiufipa ufipa haya. Unadhani hiyo safari ilipangwa jana usiku?
 
Mikutano ya vyama vya siasa ipo kisheria na hata katiba ya nchi inalitambua hilo
Katazo la rais ndio lipo kinyume na katiba na mh rais amekuwa akiivunja katiba ya nchi kwa miaka yote aliyokuwa madarakani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
angalau kwasababu awamu hii unapumua kwa kubebwa lazima ukaze msuli
 
Mboe simamia hapo hapo...vijana tumechoka..ajira hamna, mazingira mabovu ya wanyabiashara, haki ya mfanyakazi wa umma imeteketezwa, huduma mbovu za jamii...mimi kama kijana nipo tayari kufa kutetea haki yangu na kizazi kijacho....stand up for my rights..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
yes kamanda mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…