BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Lakini hata oparesheni Ukuta na nyingine si ziliishia jukwaani tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri mpaka uchagani walishawastukia uongo wenu, kauli yake haina tofauti na kauli ya mlevi kutishia nitakufumua huku mwenyewe hata kusimama hawezi. Taasisi anayoishutumu ni kubwa kuliko mtu na haitalegeza msimamo wa kulinda amani.
Maendeleo ni kupiga watu risasi bungeni?Sera za maendeleo mkuu
Mbowe atalazimisha tu hata kama kuna corona yeye ni kamanda, hajali.
kama mipango ya BashiteLakini hata oparesheni Ukuta na nyingine si ziliishia jukwaani tu!
Baada ya jamaa kujua Mbowe ataongea leo na wao wakaweka maigizo yao ati Mh anaenda Morogoro lakini kila mahali ana simama kusikiliza kero. Kwa fikra kwamba watu wataacha kumsikiliza Mbowe wahamie kwake. Kumbe watu wana hamu na hotuba ya Mwamba na sio yeyeMbowe ametangaza vita na Magufuli
Naona tu "sisi hatuogopi" nyingiii,
Ewe mbuyuyu, uchagani kuna viumbe mnadhani mna haki miliki ya urais, mnadhani mna haki miliki ya nyazifa za juu serikalini, na kwa sababu mianya ya rushwa mmezibiwa na ninyi mlizoea kuiba na ni wezi ndiyo maana mnapata tabu sana na chuki zenu binafsi.Swala la upinzani haliko uchagani hii ni tanzania nzima ww utopolo
Mawazo ya kiufipa ufipa haya. Unadhani hiyo safari ilipangwa jana usiku?Baada ya jamaa kujua Mbowe ataongea leo na wao wakaweka maigizo yao ati Mh anaenda Morogoro lakini kila mahali ana simama kusikiliza kero. Kwa fikra kwamba watu wataacha kumsikiliza Mbowe wahamie kwake. Kumbe watu wana hamu na hotuba ya Mwamba na sio yeye
angalau kwasababu awamu hii unapumua kwa kubebwa lazima ukaze msuliEwe mbuyuyu, uchagani kuna viumbe mnadhani mna haki miliki ya urais, mnadhani mna haki miliki ya nyazifa za juu serikalini, na kwa sababu mianya ya rushwa mmezibiwa na ninyi mlizoea kuiba na ni wezi ndiyo maana mnapata tabu sana na chuki zenu binafsi.
yule mbona wakukurupuka tulisha mzoea hata washauri wake walisha kata tamaa naye bora iende,fonti fedi anataka yeye tu aonekaneMawazo ya kiufipa ufipa haya. Unadhani hiyo safari ilipangwa jana usiku?
Mwamba tuvushe"Nawatangazia viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu" - freemanmbowetz
Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020.
====
Updates
View attachment 1389820
“Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe.
“Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu wachukue hatua mkononi kuwajua askari wote waliomuua Akwilina" Mhe.Mbowe.
“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13, za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa, hawa ni wamama, hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu, lakini hapa ni wanaume wenye vifua, wenye silaha, wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”. Mhe. Mbowe.
Mimi na viongozi wenzangu waandamizi tulipohudhuria sherehe za Uhuru uwanja wa Kirumba Mwanza nilipopewa nafasi ya kusalimia na nikamtaka rais aone ulazima wa kutengeneza maridhaino kuleta maridhiano… alisema nimesikia”.Mhe.Mbowe.
Sisi tulipoyataka maridhiano ya Kitaifa hayakuwa kielelezo cha uoga, ilikuwa kielelezo cha kuitaka amani katika nchi yetu kwa sababu tunaona tunakokwenda siko…”.Mhe.Mbowe.
''Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe
"Nawatangazia viongozi wote wa Chadema nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu"
"Subira yetu, uvumilivu wetu na upole wetu umedharauliwa vya kutosha. Kama watatumia polisi na magereza kutufunga wote, watufunge. Tuko tayari kwa lolote. Kama wanafikiri mabomu, risasi na jela ni suluhu, basi wakatumie," Mbowe, Mwenyekiti Chadema
Kirusi ndio kimeshaingia hivyo. Mikutano ya kamanda Mbowe sijui itakuwaje tena.yule mbona wakukurupuka tulisha mzoea hata washauri wake walisha kata tamaa naye bora iende,fonti fedi anataka yeye tu aonekane
Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020.
====
Updates
View attachment 1389820
“Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe.
“Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu wachukue hatua mkononi kuwajua askari wote waliomuua Akwilina" Mhe.Mbowe.
“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13, za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa, hawa ni wamama, hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu, lakini hapa ni wanaume wenye vifua, wenye silaha, wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”. Mhe. Mbowe.
Mimi na viongozi wenzangu waandamizi tulipohudhuria sherehe za Uhuru uwanja wa Kirumba Mwanza nilipopewa nafasi ya kusalimia na nikamtaka rais aone ulazima wa kutengeneza maridhaino kuleta maridhiano… alisema nimesikia”.Mhe.Mbowe.
Sisi tulipoyataka maridhiano ya Kitaifa hayakuwa kielelezo cha uoga, ilikuwa kielelezo cha kuitaka amani katika nchi yetu kwa sababu tunaona tunakokwenda siko…”.Mhe.Mbowe.
''Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe
"Nawatangazia viongozi wote wa Chadema nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu"
"Subira yetu, uvumilivu wetu na upole wetu umedharauliwa vya kutosha. Kama watatumia polisi na magereza kutufunga wote, watufunge. Tuko tayari kwa lolote. Kama wanafikiri mabomu, risasi na jela ni suluhu, basi wakatumie," Mbowe, Mwenyekiti Chadema