Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba
Tutakutana kwenye magroup ya what’s up. Kila mwana Chadema awe na smart phoneKama serikali itatangaza hatua za dharura dhidi ya ugonjwa wa Corona ikiwemo kuzuia mikusanyiko ya umati wa watu..nawasihi viongozi wa kisiasa kuacha mara moja mikutano hiyo.
Baki hapoHotuba imejaa majigambo, chuki binafsi kwa serikali, viashiria vya ukabila na uvunjifu wa amani. Hakuna mkakati mbadala wa kisera aliouzungumzia zaidi ya tambo za kufanya mikutano na kulalamika badala ya kujikita kwenye sera mbadala ambazo wapinzani wanaziamini.
Pia kadanganya kuhusu akina Halima. Kwa hotuba hii CCM ni chama pekee kinaendelea kubaki na mikakati mathubuti ya kuinua uchumi wa watanzania.
Nakuhakikishia hamusubutu mutaishia kupiga mazoezi tuu lkn kumpiga mtu hamuwezihiyo tarehe 4/4 aanze yeye kufanya mikutano aone atakavyochakaa
Jee ww ulichangia kwani ??sasa kama hawaogopi jela mbona walikuwa wanalia wachangiwe watoke?
KabisaBila kauli hii mgonjwa wa Cov19 asi getangazwa.
Corona itaishiwa nguvu karibuni. Hicho hakitakuwa kisingizio tena.Kama serikali itatangaza hatua za dharura dhidi ya ugonjwa wa Corona ikiwemo kuzuia mikusanyiko ya umati wa watu..nawasihi viongozi wa kisiasa kuacha mara moja mikutano hiyo.
😂 😂 😂 😂Bila kauli hii mgonjwa wa Cov19 asi getangazwa.
Huyo atakae piga yeye hana familia kwaninawaambia subirini mtaona huyo atawaambia waanze yeye hafanyi mikutano nyie migwe mpaka mchakae dadeki
Asie funzwa na ***** hufunzwa na walimwengu asie sikia la mkuu huvunjika guu naona wanatafuta vipigo na jela kwa lazimaKama serikali itatangaza hatua za dharura dhidi ya ugonjwa wa Corona ikiwemo kuzuia mikusanyiko ya umati wa watu..nawasihi viongozi wa kisiasa kuacha mara moja mikutano hiyo.
Kama ww ilivo kuinua ccm kwa kukulipa buku 7 zapropagandaHotuba imejaa majigambo, chuki binafsi kwa serikali, viashiria vya ukabila na uvunjifu wa amani. Hakuna mkakati mbadala wa kisera aliouzungumzia zaidi ya tambo za kufanya mikutano na kulalamika badala ya kujikita kwenye sera mbadala ambazo wapinzani wanaziamini.
Pia kadanganya kuhusu akina Halima. Kwa hotuba hii CCM ni chama pekee kinaendelea kubaki na mikakati mathubuti ya kuinua uchumi wa watanzania.
Ndugu sio Shuja, bali ni mtu mwenye busara sana. Ushuja na Mbowe ni kama Udi na Uvumba. Mwanasiasa yoyote wa siku hizi ni muoga na mpenda maisha ya raha.