Anagombea.Maana anamuongelea Angela wa Ujerumani kuwa alikaa muda mrefu kwenye uongozi.Anasema hajazeeka na ana nguvu ya kufanya mikutano mingi tu.Kwa hotuba yake inayoendelea tuliosoma Cuba tumeshaelewa msimamo wake, hivyo angeacha kupotezea watu muda kwa kuwahubiria watu mambo wanayoyajua. He should be objective, precise and focused.
Wanufaika ni cvm, wanamtuliza kwa pesa upinzani nao unatuliaHumu JF kuna ajabu, wakosoaji tunataka aondoke, CCM wanataka abaki.
Mbowe siku anastaafu chama atamwachia mwanae au mme wa binti yake.Kwa jinsi anavyomponda LISU, Huyu baba anagombea. RASMI NAUNGA MKONO CHAMA CHA ASILI YANGU, CCM.
Kwamba ataendelea kugombea?Kwa hotuba yake inayoendelea tuliosoma Cuba tumeshaelewa msimamo wake, hivyo angeacha kupotezea watu muda kwa kuwahubiria watu mambo wanayoyajua. He should be objective, precise and focused.
Mbowe Acha ulaghai, Sema wazi kuwa haupo tiyari kuachia Chama kwa mtu mwingine tujue moja, Sisi Siyo watoto wadogo kwani Hilo limeonekana muda mrefu sana wala hapakuwa na sababu ya kusubiria saa 48 wala kuita press conference, Umekubali CHADEMA ifie mikononi mwako mwenyewe.
Mwelekeo wa hotuba tayari tushaujua.Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi
=======================================
- Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
- Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Wanaoachia ngazi huwa ni hotuba fupi sana. Sasa hapo tayari unajua uelekeo ukoje.Kwa hotuba yake inayoendelea tuliosoma Cuba tumeshaelewa msimamo wake, hivyo angeacha kupotezea watu muda kwa kuwahubiria watu mambo wanayoyajua. He should be objective, precise and focused.
Malizia kabisa, mkuu. Anashinda pia.Mwelekeo wa hotuba tayari tushaujua.
Jamaa anachukua fomu na anagombea.
Kwaheri CHADEMA.
Mbowe lazima ashinde amekitoa chama maporini huko Leo aje mnyaturu mmoja kwa tamaa zake aanze kuleta ujinga wake.Malizia kabisa, mkuu. Anashinda pia.
Kwa hotuba hii, hana mpango wa kuachia ngazi.Kwa hotuba yake inayoendelea tuliosoma Cuba tumeshaelewa msimamo wake, hivyo angeacha kupotezea watu muda kwa kuwahubiria watu mambo wanayoyajua. He should be objective, precise and focused.
Kumbe amekijenga yeye mwenyewe? Hatari sana hii, mkuu.Mbowe lazima ashindie amekitoa chama maporini huko Leo aje mnyaturu mmoja kwa tamaa zake aanze kuleta ujinga wake.
Hoye mpaka sasa katoa tamko ganimbowe hoyeee
Hili ni pepo mchafu kabisaWakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi
=======================================
- Freeman Mbowe ameanza kuhutubia wanaCHADEMA muda huu
- Mbowe amesema kuwa hoja zinazoendelea kuwa maridhiano hayakuwa na faida ni hoja potofu
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F