Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Ni mlafi ww mpaka leo ujaonaHagombei ikiwa ana mapenzi mema na nchi lkn ikiwa analinda heshima na tumbo atagombea.
Tunasubiria kuona alivyo mlafi au alivyo mzalendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mlafi ww mpaka leo ujaonaHagombei ikiwa ana mapenzi mema na nchi lkn ikiwa analinda heshima na tumbo atagombea.
Tunasubiria kuona alivyo mlafi au alivyo mzalendo
Hawezi kuacha kugombea. Kumbuka zile faida 10 za kuwa mwenyekiti wa chama cha upinzani zilizotajwa na britanicca . Unadhani yuko tayari kuziachia??Lazima agombee tena
××××
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea ama laa.
Endapo atatangaza kugombea atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa Tunatarajia nini kuelekea 2025.
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi,
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Umemsahau mbatiaUkilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
Hapana na bakuri la kutembeza kwa wanachama?Hawezi kuacha kugombea. Kumbuka zile faida 10 za kuwa mwenyekiti wa chama cha upinzani zilizotajwa na britanicca . Unadhani yuko tayari kuziachia??
××××
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea ama laa.
Endapo atatangaza kugombea atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa Tunatarajia nini kuelekea 2025.
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi,
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
××××
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea ama laa.
Endapo atatangaza kugombea atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa Tunatarajia nini kuelekea 2025.
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi,
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
××××
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea ama laa.
Endapo atatangaza kugombea atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa Tunatarajia nini kuelekea 2025.
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi,
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
Katiba hairuhusu vyama visivyo vya Muungano.Kama vp akishindwa kusema anaachia lissu aunde chama kipyaa kiitwe UMOJA WA TANGANYIKA (UWATA) tuna hitaji mabadiliko ya kweli
Nashauri Mbowe agombee ili chadema ife na ipotee kabisa.Yaani unafikiri atatoa tamko kwàmba hagombei cheo chake?
Labda kama Chadema waamue kufuta cheo çha Mbowe cha uenyekiti.
Yule Mzee alikua na akili sana, ni mchezo wa Pesa na madaraka ila Mzee yule alikua na akili kubwa kuna watu hawawezi elewaUkilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
FAM ni zero shuleni, hakwenda kozi yoyote zaidi ya kuwa mlinzi pàle BoT.Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
Yule Mzee alikua na akili sana, ni mchezo wa Pesa na madaraka ila Mzee yule alikua na akili kubwa kuna watu hawawezi elewaUkilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
Yule Mzee alikua na akili sana, ni mchezo wa Pesa na madaraka ila Mzee yule alikua na akili kubwa kuna watu hawawezi elewaUkilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
Wale Polisi waliotumika kumuua Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Tiss General Imran Kombe unajua walikaa jela feki kwa muda wa miaka mingapi? Unajua wamelipwa fidia kiasi gani baada ya kutolewa huko jela feki ili kufidia muda wao?Pandikizi la Tiss ndo ateseke vile kwa kukaa magerezani na kuitwa Gaidi? Sema labda kuna negotiations anafanya na system mkono uende kinywani ila kuitumikia system bila makubaliano hawezi
^Nikiona chama changu kinaenda kuzamishwa, mimi kamanda narudi mzigoni!^Yaani unafikiri atatoa tamko kwàmba hagombei cheo chake?
Labda kama Chadema waamue kufuta cheo çha Mbowe cha uenyekiti.