Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ningeshangaa yaani uache chama Kwa wahuni na mawakala wa Mabeberu? 🤣🤣
 
So sad
 
Hapo tayari tushajua kugombea kwake ni maelekezo. Tukishindwa kwenye kura tutamuachia chama chake
Hichi ndicho ninachotaka kukiona mimi kama mnadhani kujenga chama mpaka kikubalike ni mzaha.

Zitto Kabwe ameshawauzia ACT Wazanzibar kakaa zake pembeni anajuwa kujenga chama Tanganyika si shughuri ya kitoto.

Sasa ni zamu yenu kuonesha kwa vitendo kama mna uwezo huo, uchaguzi ni namba, Mbowe ameshashinda uchaguzi kabla haujafanyika, kwahiyo kama ni kuondoka ondokeni sasa msipoteze muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…