Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umemsahau mbatia
 
Yaani unafikiri atatoa tamko kwàmba hagombei cheo chake?
Labda kama Chadema waamue kufuta cheo çha Mbowe cha uenyekiti.
 

Pandikizi la Tiss ndo ateseke vile kwa kukaa magerezani na kuitwa Gaidi? Sema labda kuna negotiations anafanya na system mkono uende kinywani ila kuitumikia system bila makubaliano hawezi
 
Yule Mzee alikua na akili sana, ni mchezo wa Pesa na madaraka ila Mzee yule alikua na akili kubwa kuna watu hawawezi elewa
 
FAM ni zero shuleni, hakwenda kozi yoyote zaidi ya kuwa mlinzi pàle BoT.
 
Yule Mzee alikua na akili sana, ni mchezo wa Pesa na madaraka ila Mzee yule alikua na akili kubwa kuna watu hawawezi elewa
 
Yule Mzee alikua na akili sana, ni mchezo wa Pesa na madaraka ila Mzee yule alikua na akili kubwa kuna watu hawawezi elewa
 
Pandikizi la Tiss ndo ateseke vile kwa kukaa magerezani na kuitwa Gaidi? Sema labda kuna negotiations anafanya na system mkono uende kinywani ila kuitumikia system bila makubaliano hawezi
Wale Polisi waliotumika kumuua Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Tiss General Imran Kombe unajua walikaa jela feki kwa muda wa miaka mingapi? Unajua wamelipwa fidia kiasi gani baada ya kutolewa huko jela feki ili kufidia muda wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…