Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani huyo Lisu wewe unadhani anatafuta nini kama sio utamu wa madaraka?

Mbowe amuachie Ili kitokee nini? 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEAXfvVIWoV/?igsh=bHNkdG1sb2xpYjFy
 
Kaka huo ni mradi wa familia. Yani huna akili au!?
 
Hupendi Demokrasia. Na unathibitisha mnataka Lissu apite bila ushindani.
Ni mawazo yako nitaendelea kuyaeshimu, binafsi nimeangalia katika angle ya kuwagawa wanachama, pia swala la uchaguzi mbele yetu.
 
Mwehu ni wewe na mamayenu huko ccm ambao mnajadili kauli za lissu nusu nusu.
 
Mwehu ni wewe na mamayenu huko ccm ambao mnajadili kauli za lissu nusu nusu.
Ahahahahaha! Povu la nini dogo? Jibu hoja. Wakati mnaondoa ukomo wa madaraka ya Mwenyekiti mlikuwa mnataka nani aendelee kukaa kama sio Mbowe! Ahahahahaha! Sasa hivi povu la nini! Ukimfuga chatu na ukashindwa kumlisha, anakutafuna mfugaji! Ahahahahaha!!!
 
Huo ndiyo ukweli.kama kiongozi anafanya vizuri hakuna haja ya kumtoa
Ndiyo, aongoze hadi mauti itapomtenga na uongozi sababu hakuna aliye bora zaidi yake?
Anyways, waoiga kura wataamua na sisi wabangaizani tutakuwa na wakati na mahali petu pa kupazia sauti.
Time will tell.
 
Kamzuia nani mbona mnazusha agenda za kuonewa huruma. Nenda kagombee atakaechaguliwa na wanachama atakua mwenyekiti. Hamna aliezuiwa kugombea wala uchaguzi haujafutwa
 
Uchaguzi huru na wa haki unatakiwa uwe vipi? Weka hapo sifa za huo uchaguzi ili tuone kama hadi sasa zimekiukwa
 
Ni mawazo yako nitaendelea kuyaeshimu, binafsi nimeangalia katika angle ya kuwagawa wanachama, pia swala la uchaguzi mbele yetu.
Sasa kuwagawa wanachama huwrza kutokea kwa namna nyingi. Mfano Mbowr asigombee halafu atangaze kumuunga mkono Odero, Wanachama watagawanyika?
 
Halotel GB mwez 🔥🔥

GB 13 Kwa 14000
GB 14 Kwa 15000
GB 15 Kwa 16000
GB 16 Kwa 17000
GB 18 Kwa 19000
GB 20 Kwa 21000
GB 30 Kwa 29000
GB 33 Kwa 32000

Mwenye uhitaji na hizo GB za halotel inbox
Wewe hizi unazitoa wapi kwa sababu nimewahi kutapeliwa kwa njia hii hii hadi nikatoa angalizo humu.
 
Siku za Mbowe zinahesabika
 
Kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…