Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Baada ya kujua majina ya washiriki (Actors na Actresses) sikutaka kujua hata Title ya Series yenyewe, nilijua lazima itakuwa ni kali tu, na kweli 😀😀😀
 
Mwenyekiti atakua TAL km asipokua basi watagawana mbao na kitakua kimekufa rasmi
20241219_172147.jpg
 
Hapa either uwe simba au wazee wa jangwani, hakuna neutral hapa, na mtaendelea kutuona tukitoka mapangoni na ku_side straight forward pasina kujificha ficha tena 😂
 
Hii movie Kuna wanasema 99.1% ndiyo directors, lakini naona, Kuna sponsor wa 99.1% ndiye kastuka actor mmoja wapo alikuwa anapendelewa na wanaodhaniwa directors kuwalaghi sponsors. Sasa sponsor ndiye anataka awe director na sponsor kisha kubadili co-actor awe ndiye "sterling"!!!
 
Hii movie Kuna wanasema 99.1% ndiyo directors, lakini naona, Kuna sponsor wa 99.1% ndiye kastuka actor mmoja wapo alikuwa anapendelewa na wanaodhaniwa directors kuwalaghi sponsors. Sasa sponsor ndiye anataka awe director na sponsor kisha kubadili co-actor awe ndiye "sterling"!!!
Hatari sana, ila mods wana mambo ya ajabu sana wameua uzi wangu aisee cheki comment yako ilivyo tamu kwa sasa aiendani kbs na Title ya huu uzi. Mods rudisheni uzi wangu please.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

Siku ya leo Disemba 21, 2024 Freeman Mbowe ametangaza rasmi kugombea kwa mara nyingine nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Mbowe amsema kuwa kutokana na Uchaguzi mkuu ambao unakuja si vyema kubadilisha "makamanda" na kwamba bado yupo sana kuongoza chama hicho na mara baada ya mkutano anaenda kuchaukua fomu kwenye makao makuu ya chama hicho, Mikocheni.

"Kwa kuzingatia yote haya na mengine mengi ambayo sitaki kuwachosha. Nilisema mara nyingi kuwa nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya minyukano iliyopo. Kwa hiyo CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea"

View attachment 3181677



View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Better Mbowe apumzike.
Awe mshauri.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

Siku ya leo Disemba 21, 2024 Freeman Mbowe ametangaza rasmi kugombea kwa mara nyingine nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Mbowe amsema kuwa kutokana na Uchaguzi mkuu ambao unakuja si vyema kubadilisha "makamanda" na kwamba bado yupo sana kuongoza chama hicho na mara baada ya mkutano anaenda kuchaukua fomu kwenye makao makuu ya chama hicho, Mikocheni.

"Kwa kuzingatia yote haya na mengine mengi ambayo sitaki kuwachosha. Nilisema mara nyingi kuwa nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya minyukano iliyopo. Kwa hiyo CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea"

View attachment 3181677



View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Anaongea hivo akijua fika wajumbe wa Mkutano Mkuu karbia wote kawaweka yeye.
 
Hivi ni kweli yule uliye kuwa unasema na kuimba demokrasia, demokrasia....!!! Leo hii wa kung'ang'ania madaraka hadi yanakutia upofu!! Ninani anayekushauri vibaya namna hiyo....
Ninakili tunamshukuru sana TAL kutuonyesha upande wenu wa 2,kumbe CDM chini ya utawala wako hakuna upinzani zaidi ya kuwa msaada kwa CCM!!!
 
Hivi ni kweli yule uliye kuwa unasema na kuimba demokrasia, demokrasia....!!! Leo hii wa kung'ang'ania madaraka hadi yanakutia upofu!! Ninani anayekushauri vibaya namna hiyo....
Ninakili tunamshukuru sana TAL kutuonyesha upande wenu wa 2,kumbe CDM chini ya utawala wako hakuna upinzani zaidi ya kuwa msaada kwa CCM!!!
Shallow reasoning indeed
 
Hakuna aliyezuiwa kugombea, hata wewe unaruhusiwa .
Umesikiliza Kauli yake kwanza...? Ama unaleta mahaba ya uchawa? Kiukweli kwa kusikiliza Kauli yake, kwanzia Sasa siyo tena mwenyekiti wangu tena. Sijui kwa wengine.
Najaribu kujiuliza ujasili wa kukemea ukomo wa madaraka utatoka wapi kupitia yeye.
 
Back
Top Bottom