Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo ndiyo ukweli.kama kiongozi anafanya vizuri hakuna haja ya kumtoa
 
Nakataa. Hapana hii sio kweli, mtu huwezi kukaa madarakani siku zote hii ndio inaleta udikteta.

Leadership is a trust and not a privilege. Period.
Nani kati yenu aliwahi kupinga Chadema kubadili Katiba na kuondoa ukomo wa madaraka ya Mwenyekiti? Kipindi kile sie tunapinga si mlikuwa mnamtetea Mbowe nyie? Badala ya kupinga chanzo, eti leo mnalalamikia matokeo? Ndio maana Mimi namwita Lissu mwehu kwasababu alikuwepo na alisimamia uondoaji ukomo wa madaraka ya Mwenyekiti. Leo analoloma nini?
 
Umesimiliza Kauli yake kwanza...? Ama unaleta mahaba ya uchawa? Kiukweli kwa kusikiliza Kauli yake, kwanzia Sasa siyo tena mwenyekiti wangu tena. Sijui kwa wengine.
Najaribu kujiuliza ujasili wa kukemea ukomo wa madaraka utatoka wapi kupitia yeye.

Sina sababu ya kusikiliza na nimejibu kulingana na ulichoandika. Na kuhusu mambo ya uchawa yanakuhusu wewe kwasababu inaonekana unataka Lissu awe mwenyekiti bila kupata upinzani.

Nyie vibaraka wa Lissu kwa nini hamtaki Mbowe agombee uenyekiti ?
 
Hivi ni kweli yule uliye kuwa unasema na kuimba demokrasia, demokrasia....!!! Leo hii wa kung'ang'ania madaraka hadi yanakutia upofu!! Ninani anayekushauri vibaya namna hiyo....
Ninakili tunamshukuru sana TAL kutuonyesha upande wenu wa 2,kumbe CDM chini ya utawala wako hakuna upinzani zaidi ya kuwa msaada kwa CCM!!!
Kichwa cha mada, na maelezo yaliyo fuatia haviendani!
 
Sina sababu ya kusikiliza na nimejibu kulingana na ulichoandika. Na kuhusu mambo ya uchawa yanakuhusu wewe kwasababu inaonekana unataka Lissu awe mwenyekiti bila kupata upinzani.

Nyie vibaraka wa Lissu kwa nini hamtaki Mbowe agombee uenyekiti ?
Kuna aliye mkataza Mbowe kugombea?
 
Halotel GB mwez 🔥🔥

GB 13 Kwa 14000
GB 14 Kwa 15000
GB 15 Kwa 16000
GB 16 Kwa 17000
GB 18 Kwa 19000
GB 20 Kwa 21000
GB 30 Kwa 29000
GB 33 Kwa 32000

Mwenye uhitaji na hizo GB za halotel inbox
 
Je, utawambia nini wananchi wako
Mbowe:
Mimi nina uwezo wa kufanya mikutano 8 kwa siku 1 bila kula....
20241219_172147.jpg
 
Mbona hakuna mabaya alilosema Mbowe,kama ni suala la ujasiri wa kusema kesho yake atasema kuwa nimeshindwa kwa njia ya kura au nimeshinda kwa njia ya kura kwa sababu maneno yake yanaonekana kabisa ni mtu wa kupokea lolote litakalotokea.

Tatizo linaloonekana watu wanataka Mbowe atangaze kung'atuka kama Nyerere alivyofanya kipindi chake,wakati Nyerere alifanya hivyo kutokana na mfumo uliokuwepo kwa wakati ule ndani ya CCM na serekali kulikuwa hakuna uchaguzi kulikuwa na ndiyo au hapana.

Mbowe yeye kaamua kuwaachia wanachama ndio waamue sijui kosa lake ni lipa hapa?.
 
Hivi ni kweli yule uliye kuwa unasema na kuimba demokrasia, demokrasia....!!! Leo hii wa kung'ang'ania madaraka hadi yanakutia upofu!! Ninani anayekushauri vibaya namna hiyo....
Ninakili tunamshukuru sana TAL kutuonyesha upande wenu wa 2,kumbe CDM chini ya utawala wako hakuna upinzani zaidi ya kuwa msaada kwa CCM!!!
Shekeli ya abdu
 
Kama anaruhusiwa kikatiba kwa nini unasema anang'ang'ania madaraka? Kama wanachama / wapiga kura wa mkutano mkuu hawamtaki Mbowe watamkataa kwenye kura.
Binafsi nateswa na Kauli yake hapo juu.
 
Mbona hakuna mabaya alilosema Mbowe,kama ni suala la ujasiri wa kusema kesho yake atasema kuwa nimeshindwa kwa njia ya kura au nimeshinda kwa njia ya kura kwa sababu maneno yake yanaonekana kabisa ni mtu wa kupokea lolote litakalotokea.

Tatizo linaloonekana watu wanataka Mbowe atangaze kung'atuka kama Nyerere alivyofanya kipindi chake,wakati Nyerere alifanya hivyo kutokana na mfumo uliokuwepo kwa wakati ule ndani ya CCM na serekali kulikuwa hakuna uchaguzi kulikuwa na ndiyo au hapana.

Mbowe yeye kaamua kuwaachia wanachama ndio waamue sijui kosa lake ni lipa hapa?.
Sitaki kuamini kama anadhamiri ya dhati ya kufanya uchaguzi uhuru na haki kutokana na Kauli za watu wake. Pia binafsi sikutaka kwa yeye kuingia kwenye ushindani na TAL kutokana na unyeti wa Siasa zetu. Sababu kuu ni Moja kupunguza ahiba kwa mtia nia wa urais pia kupoteza baadhi ya wapiga kura kutokana na matokeo yeyote kati yake na Tundu Lissu.
 
Suala siyo kugombea, issue hapa ni Mbowe kung'ang'ania madaraka. Umeelewa?
Mbowe angeng'ang'ania madaraka endapo kusingekuwa na uchaguzi. Sasa kuna uchaguzi na yeye anagombea na wengine waliotia nia akiwamo Odero, hapo anang'ang'aniaje?

Tuwe wakweli.

Mbowe anatimiza haki zake za kikatiba, humtaki usimpigie kura.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi

Kidumu Chama Tawala
 
Sitaki kuamini kama anadhamiri ya dhati ya kufanya uchaguzi uhuru na haki kutokana na Kauli za watu wake. Pia binafsi sikutaka kwa yeye kuingia kwenye ushindani na TAL kutokana na unyeti wa Siasa zetu. Sababu kuu ni Moja kupunguza ahiba kwa mtia nia wa urais pia kupoteza baadhi ya wapiga kura kutokana na matokeo yeyote kati yake na Tundu Lissu.
Hupendi Demokrasia. Na unathibitisha mnataka Lissu apite bila ushindani.
 
Back
Top Bottom