Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanaelewa vizuri, namba hazidanganyi, Mbowe ameshawapiga KO kabla ya uchaguzi, Mbowe amuandae John Heche kuwa mrithi wake.
Hiko chama Cha watu wa kaskazini .,bas tu mbowe nae anaona lema ni kopo hamna kitu kichwani ila angemwachia chama.
 
We mzee kumbe ni mtupu hivi kichwani,hili saga limewa expose wengi sana uwezo wenu wa kufikiri.
Hivi wewe unaelewa kiswahili kweli? Lisu amejiunga na Chadema gari likiwa limeshawaka ndio sababu kuu ya yeye kuondoka Nccr Mageuzi kujiunga Chadema ili kuongeza nguvu na akagombea Ubunge kwao akashinda.

Hakuna cha unabii wowote Wabongo mnapenda sana porojo.

Sasa ni wakati wa Lisu kumuangusha Mbowe kwenye uchaguzi huru na wa haki kama alivyofanya Jacob Zuma kumuangusha Thabo Mbeki Urais wa ANC na akiwa Rais wa nchi Mbeki pia.

Sasa Mbowe hana dola mnatokwa mapovu, nendeni kwenye box mkamng'oe, akishinda maana yake yeye ndiye anayekubalika na tutaangalia margin vote ni tofauti ya kura ngapi.
 
Iko hivi bosi sisi mwenyekiti anaenda na mhula, ukiisha haruhusiwi kugombea tena. Ingependeza tuongeona wapinzani wanakuwa na vipindi vya muhula kwa uenyekiti
Jibu swali, mwenyekiti wa ccm huwa anagombea na nani?
 
Poyoyo katika ubora wako, km Chadema im sure we unajiunga mi nilikua huko. Kitambo tu hata hakikua chama halisi.
Kuhamia wapi kwa mfano?
Hakuna chama cha upinzani Tanzania.

Kuna vikundi vya watu wanagombea kula yao basi
Sasa kwa nini mapovu yanakutoka wakati unajuwa hivyo ni vikundi vya watu?
 
Natamani wapiga Kura wa Chadema waoneshe hasira zao Kwa mwenyekiti ili liwe fundisho Kwa wale wote wenye tamaa ya madaraka. Kama chama wapiga Kura mkataeni mwenyekiti ameshindwa kulinda heshima yake. Pigeni Kura ya hapana Kwa Mbowe.
 
Natamani wapiga Kura wa Chadema waoneshe hasira zao Kwa mwenyekiti ili liwe fundisho Kwa wale wote wenye tamaa ya madaraka. Kama chama wapiga Kura mkataeni mwenyekiti ameshindwa kulinda heshima yake. Pigeni Kura ya hapana Kwa Mbowe.
Ukizingatia wewe sio mpiga kura,kuwa mpole!
 
Natamani wapiga Kura wa Chadema waoneshe hasira zao Kwa mwenyekiti ili liwe fundisho Kwa wale wote wenye tamaa ya madaraka. Kama chama wapiga Kura mkataeni mwenyekiti ameshindwa kulinda heshima yake. Pigeni Kura ya hapana Kwa Mbowe.
Wewe Unadhani huo uchaguzi ni yale maigizo ya ccm ya ndio au hapana? Hapo hakuna kura ya Hapana ni mtanange wa either umpigie Lisu au Mbowe, mambo ya hapana ni huko ccm anakogombea mgombea mmoja na anashinda kwa asilimia mia moja, usanii mtupu.
 
Wewe Unadhani huo uchaguzi ni yale maigizo ya ccm ya ndio au hapana? Hapo hakuna kura ya Hapana ni mtanange wa either umpigie Lisu au Mbowe, mambo ya hapana ni huko ccm anakogombea mgombea mmoja na anashinda kwa asilimia mia moja, usanii mtupu.
CCM inaanza kuabika sasa!
Madokta na maprofesa, wanaletewa jina moja
 
Wewe Unadhani huo uchaguzi ni yale maigizo ya ccm ya ndio au hapana? Hapo hakuna kura ya Hapana ni mtanange wa either umpigie Lisu au Mbowe, mambo ya hapana ni huko ccm anakogombea mgombea mmoja na anashinda kwa asilimia mia moja, usanii mtupu.
CCM inaanza kuabika sasa!
Madokta na maprofesa, wanaletewa jina moja
 
Mkuu, kwani hotuba hujaisikiliza? Maridhiano, kujenga na kuimarisha chama, ofisi imetajwa hapo, nk. Nashauri urudie kumsikiliza tena.
Mbowe amesisitiza sana kuhusu maridhiano kuwa ndio sera yake kuu akiwataja, Mandela, Gandhi, Kennedy nk.

Maridhiano yalikuwa ya ukweli mfano Afrika kusini katiba mpya, kuondoa ubaguzi, uchaguzi huru. Gandhi India kupewa uhuru nk.

Haya maridhiano ya Mbowe hayabadilishi mfumo uliopo sasa zaidi kuiongezea nguvu CCM.
 
Mbowe amesisitiza Saba kuhusu maridhiano kuwa ndio sera yake kuu akiwataja, Mandela, Gandhi, Kennedy nk.

Maridhiano yalikuwa ya ukweli mfano Afrika kusini katiba mpya, kuondoa ubaguzi, uchaguzi huru. Gandhi India kupewa uhuru nk.

Haya maridhiano ya Mbowe hayabadilishi mfumo uliopo sasa zaidi kuiongezea nguvu CCM.
Milango iko wazi, Tanzania kuna vyama zaidi ya 20, tafuteni chama cha kwenda mkakijenge au anzisheni chama chenu.
 
Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.

Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.

Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,

Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?

Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi

=======================================

Siku ya leo Disemba 21, 2024 Freeman Mbowe ametangaza rasmi kugombea kwa mara nyingine nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Mbowe amsema kuwa kutokana na Uchaguzi mkuu ambao unakuja si vyema kubadilisha "makamanda" na kwamba bado yupo sana kuongoza chama hicho na mara baada ya mkutano anaenda kuchaukua fomu kwenye makao makuu ya chama hicho, Mikocheni.

"Kwa kuzingatia yote haya na mengine mengi ambayo sitaki kuwachosha. Nilisema mara nyingi kuwa nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya minyukano iliyopo. Kwa hiyo CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea"

View attachment 3181677



View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F

Zidumu fikra za mwenyekiti Freeman Mbowe!!!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom