Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Yani Lisu akatwe jina kwa lipi? Lisu si tishio kwa Mbowe kwenye uchaguzi huu, Mbowe alishamaliza uchaguzi kwenye kanda, kura za Lisu ndio ha kina Msigwa chali amekimbilia ccm.Msikate tu jina lake kwenye CC.Maana iam sure mkutano mkuu Lissu atapata kura nyingi tu.Kilimanjaro pekee ndo watampa mbowe .
Uchaguzi ni numbers, weka hilo akilini save hii post utaona Lisu atakavyopigwa kwa margin kubwa.