OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakati mama ndio alimtapeli. Asipoteze muda ni kusema tu anagombea au hagombeiAmetaja historia ya misukosuko kamrushia lawama Mwendazake lakini hajamtaja Mamaš¤š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mama ndio alimtapeli. Asipoteze muda ni kusema tu anagombea au hagombeiAmetaja historia ya misukosuko kamrushia lawama Mwendazake lakini hajamtaja Mamaš¤š
Hapo tayari tushajua kugombea kwake ni maelekezo. Tukishindwa kwenye kura tutamuachia chama chakehii hotuba ipo live hadi tbc hapa youtube, wazoefu tbc huwa wanapost hivi vikao vya chadema kweli? mimi sjawai kuona hata kwa bahati mbaya leo ndo mara ya kwanza kwangu
TBC ni channel ya Taifa pia HOTUBA ya Leo ya Mbowe imekaa kibiashara sifikirii Kama TBC wange -mutehii hotuba ipo live hadi tbc hapa youtube, wazoefu tbc huwa wanapost hivi vikao vya chadema kweli? mimi sjawai kuona hata kwa bahati mbaya leo ndo mara ya kwanza kwangu
Akigombea unajua wazi atatembeza pesa sana kiasi kwqmba mpinzani wake atateswa kwa hila za rushwa.Anaongea meeengi ila all in all Anagombea.Mimi ninaomba tu uchaguzi uwe wa haki na uwazi .Atakayeshinda ashinde.
Mkuu kwani Upinzani ni Chama? mbona nguvu zinatumika sana?Hapo tayari tushajua kugombea kwake ni maelekezo. Tukishindwa kwenye kura tutamuachia chama chake
Pesa inaondoa utuHapo tayari tushajua kugombea kwake ni maelekezo. Tukishindwa kwenye kura tutamuachia chama chake
Na watampaAgombee tu ana haki hiyo
Si ndio vizuri ushwawishi wake aupeleke huko Kwingine?Akigombea unajua wazi atatembeza pesa sana kiasi kwqmba mpinzani wake atateswa kwa hila za rushwa.
Lkn akigombea nimjuavyo Lissu atamwanika hadharani uovu wote, wapo ndipo hali itakuwa tete
siasa kazi ngumu kweli-kweli. maana hata lissu interview ya juzi ya clouds kile kipindi cha asubuhi cha kina kipanya aliwatupia dongo kua clouds huwa wanawakwepa kwepa ila akashkru ujio wao siku ile. acha tuendelee kucheki hii mbungiHapo tayari tushajua kugombea kwake ni maelekezo. Tukishindwa kwenye kura tutamuachia chama chake
Kama alishindwa kupiga magoti enzi za MWamba Magu ndio aje apige sasa? Wabongo tumejaa uzushi sanaPesa inaondoa utu
kwanini leo? hii inafikirisha sana ni maajabuTBC ni channel ya Taifa pia HOTUBA ya Leo ya Mbowe imekaa kibiashara sifikirii Kama TBC wange -mute
RIP Shujaa Magufulikwanini leo? hii inafikirisha sana ni maajabu
Lissu angepigwa risasi angekuwa keshakufa kitambo na wale waliompiga wangekuwa unknown killers.Kwahiyo kupigwa risasi Lissu ilikua ni muvi?
Kama ilikua muvi,kwasisi tunayemuona ni kiongozi wa upinzani,mfano Lissu,naomba upewe scene hata moja,ucheze ya kupigwa risasi hata 3 tu,uone ilivyo ngumu kuigiza.
Roho ya paka/nyauu!Atakuwa na roho ngumu zaidi
Kwa namna nyingine Mbowe anasema mama anaupiga mwingiWakati mama ndio alimtapeli. Asipoteze muda ni kusema tu anagombea au hagombei
Uthibitisho?Lissu angepigwa risasi angekuwa keshakufa kitambo na wale waliompiga wangekuwa unknown killers.
Habari iliyopo ni Bashite ndiye alimtwanga risasi Lissu, Bashite huyo huyo ni nyoka wa mjwere...
Bahati mbaya kwako hujui kuwa Lissu na Mbowe wote ni mapandikizi ya mkwere.
Ninapokuambia kuwa hakuna upinzani bongo jiongeze kuelewa.
Sasa hivi naamini hivyo, sababu TBC hawawezi kwenda pale hivihivi tu.... ukiangalia body language, ... kuanzia mavazi, mood aliyoingia nayo na kauli zake za awali sana:
... MBOWE ANAGOMBEA!š„š„š„ā”ā”š„š„
mbowe hoyeeeLazima agombee tena