Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuu,watu wametekwa na kuuwawa kwa maslahi binafsi ya akina mbowe..ni vyema vijana tutafakari aidha kuachana na siasa ama kuungana na ccm..Mtu asinambie kitu kinachoitwa siasa kuanzia kujiandikisha ,kupiga kura na mengineyo na hili jukwaa la siasa sitolitembelea tena .
Tukutane Jukwaa la Michezo 😂😂😂Mtu asinambie kitu kinachoitwa siasa kuanzia kujiandikisha ,kupiga kura na mengineyo na hili jukwaa la siasa sitolitembelea tena .
Mm sentensi tu ya kwanza nikqjua kifaa haking'atukiTangu mwanzo angetanguliza kusema anagombea wala nisingejisumbua kuchoma MB zangu kufika umbali huu.
Mkeka wanauskuka ili tupate kuliwaItakuwa wanabet.
CCM wakileta hoja ya kuondoa ukomo kwa Samia sijui itakuwaje....Mbowe atasema nini maana alipoingia Chadema akaondoa ukomo.Hili jamaa likichukua nchi si atafuta ukomo wa rais?
Huko ni kuokoteza hoja ili kukidhi matakwa ya mabwana zakeHahahahaha ila huyu jamaa hana aibu
Anadai anataka kugombea tena hii itakuwa awamu ya mwisho kwake ili awe amestaafu akiwa na umri sawa na watangulizi wake.
Anataka astaafu akiwa na miaka 68.
Haki ya Mungu hii imenichekesha sana kama ndio factor yake.
Mbona TANU NA MPAKA 1977 CCM REBIRTH..TUNA MIAKA 60'S TUPO PALE PALE KWENYE MAADUI WA TAIFA AMBAO TUMEAMINISHWA UJINGA, UMASKINI NA MARADHI.Atagombea Hili lichaga n lilafi na libinafsi mno.
Umekula Sana miaka 20 inatosha waachie na wengine.
Nilijua tu hili litatokeaLazima agombee
Ametia aibu kubwa sana huyuCCM wakileta hoja ya kuondoa ukomo kwa Samia sijui itakuwaje....Mbowe atasema nini maana alipoingia Chadema akaondoa ukomo.
Tukutane Jukwaa la Michezo 😂😂😂
Kinachofanyika hapa Chadema ni kichekesho sana.Unadhani Bw. Scars
Sikuwa na chama muda mrefu isipokuwa nilikuwa nashawishiwa niingie CCM ila nikawa nakataa!
Kwa hii hali naenda ku activate usability naenda kuchukua kadi ya CCM.
Brother!Duh I'm officially done with CHADEMA. Huyu mbowe mpaka siku atoke ndio nitarudi kujihusisha na hiki chama.
Chama cha demokrasi na maendeleo ya kufikirika na sio halisiaCCM wakileta hoja ya kuondoa ukomo kwa Samia sijui itakuwaje....Mbowe atasema nini maana alipoingia Chadema akaondoa ukomo.
Bora hataHata mimi aisee,ni bora niipigie kura CCM
Mbowe amewavunja moyo watu wengi sana.Mtu asinambie kitu kinachoitwa siasa kuanzia kujiandikisha ,kupiga kura na mengineyo na hili jukwaa la siasa sitolitembelea tena .