SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Jambo usilolifahamu ni sawa na usiku wa kiza kinene.Sasa kama ulikuwa CDM ndio kusema unaogopa uchaguzi au? Hiki ni chama Cha kidemokrasia. Siyo cha kutoa fomu moja. Fomu zimetolewa nyingi na wewe chukua ugombee. Huku CDM nakuna umwinyi wa kutoa fomu moja