Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Ndio maana polisi wengi wasio na maadili wakistaafu wanapata tabu Sana.Kuna watu wana dhambi aisee unaua mtu kama kuku.
Tatizo huna proof, and you cant prove that. Until then vita ya maneno iendeleeMtekaji ni Mbowe na genge lake
USSR
Nilitegemea mkutano wa kwanza wa Mbowe na Samia wangezungumzia swala la Ben Saanane namauaji ya makada wa Chadema lakini ni Kama walitolewa kafaraSi mlituambia aliyekuwa anateka watu ni Magufuli?
Tukueleweje wewe Dj gaidi Mbowe?
WAziri wa nchi utawala bora ana hoja ya kuwajibu watanzania kuhusu hizi tuhuma kuwa zipo chini yake - TISSHiki kikosi Mchengerwa atakosekana kweli?
Mpaka leo hajaitwa kwa kuwa wanajua atafichua zaidiWatamuita sasa hivi kumhoji kuhusu hilo. Keep this note! hakuna tofauti na utawala wa Idd Amin! Aliua over a million Ugandans
Watarajiwa na wapinzani wote ambao wapo at high risk wapate Spy watch, Spy pen, spy hat/kapelo, ....spy spectacles naona kule Mbeya bwana Hamza ndio zilikuwa zinamtia hofu kwani alikuwa anaanza na kuharibu miwani then kibondo kinafuata,HAKUNA WATU WAJINGA KAMA POLISI MFANO WA MAJINI AU WACHAWI UKIWAJUWA HAWA WEZI KUKUSMBUA SABABU UNAWAONA WAPO UCHI
Uwe unaweka hata gunzi huko nyumba ,unaona sasa unavyojamba mbele za watu?Mtekaji ni Mbowe na genge lake
USSR
Hawezi kuhusishwa wote ni mkwe na MasauniWAziri wa nchi utawala bora ana hoja ya kuwajibu watanzania kuhusu hizi tuhuma kuwa zipo chini yake - TISS
Huyu ndio mlisema kala hela zao, ujasiri huu katoa wapi?Duuh