Kuna watu wana dhambi aisee unaua mtu kama kuku.
Ndio maana polisi wengi wasio na maadili wakistaafu wanapata tabu Sana.
Hapo utakuta keshapewa kikokotoo milioni 35, kisukari chake, presha yake, migogoro ya kufamilia na kutengwa na jamii.
 
Utawala wa jiwe tukiwatupia lawama viongozi wa vyombo vya ulinzi ambao nimewataja hapo juu lakini leo wote hawapo kwenye maamuzi japo kisheria za kijeshi wamepumzika wanaweza tumika pale wanapoitajika tu kwa ushauri.

Je nani muuwaji? Je kujiuzuru kwa Masauni kutaondoa wauaji?
Je akitoka IGP wauji Wataisha?

Dawa ni moja tu kama kuna kikundi au watu ndani ya serikali, nje ya serikali wanaendesha haya mambo wahache au kikundi iko kifutwe manake dalili zilizopo siku za usoni ni mbaya.

Mauji ya mzee kibao yawe mwanzo na mwisho ili kukomesha matukio haya
 
Si mlituambia aliyekuwa anateka watu ni Magufuli?

Tukueleweje wewe Dj gaidi Mbowe?
Nilitegemea mkutano wa kwanza wa Mbowe na Samia wangezungumzia swala la Ben Saanane namauaji ya makada wa Chadema lakini ni Kama walitolewa kafara
 
Watamuita sasa hivi kumhoji kuhusu hilo. Keep this note! hakuna tofauti na utawala wa Idd Amin! Aliua over a million Ugandans
Mpaka leo hajaitwa kwa kuwa wanajua atafichua zaidi
 
HAKUNA WATU WAJINGA KAMA POLISI MFANO WA MAJINI AU WACHAWI UKIWAJUWA HAWA WEZI KUKUSMBUA SABABU UNAWAONA WAPO UCHI
Watarajiwa na wapinzani wote ambao wapo at high risk wapate Spy watch, Spy pen, spy hat/kapelo, ....spy spectacles naona kule Mbeya bwana Hamza ndio zilikuwa zinamtia hofu kwani alikuwa anaanza na kuharibu miwani then kibondo kinafuata,
Jaribuni hiyo itasaidia kuwatambua kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…